Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yakasirishwa na hatua ya Israel

Marekani imesema kuwa ina wasiwasi mwingi kwamba maafisa wa Polisi wa Israel wamempiga vibaya kijana mmoja raia wa Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia Israel kujilinda

Marekani imepitisha mswada unaotoa msaada wa kifedha kwa Israel kuimarisha mfumo wake wa kujilinda

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani ICC kuhusu Israel

Marekani imelaani hatua ya mahakama ya kimaitaifa ya uhalifu wa kivita ICC kuanzisha uchunguzi dhidi ya Israel

 

9 years ago

BBCSwahili

Jasusi wa Marekani aliyeisaidia Israel aachiliwa

Afisa wa ujasusi wa Marekani aliyehukumiwa kwa kupatikana na hatia ya kuifanyia ujasusi Israel ameachiliwa kutoka gerezani

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran:Marekani yapinga msimamo wa Israel

Rais Obama amepuuzilia onyo alilotoa waziri mkuu wa Israel kuhusu mpango wa Iran wa Nuclear ndani ya bunge la Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN;Yakasirishwa na utekajinyara Nigeria.

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limesikitishwa na hatua ya kutekwanyara kwa zaidi ya wasichana 200 wa shule nchini Nigeria.

 

5 years ago

Michuzi

MAREKANI YARIDHISHWA NA HATUA ZA TANZANIA KATIKA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE

 Marekani imeeleza kufurahishwa na mafanikio ya Tanzania katika masuala ya ushirikishwaji wa wanawake katika ngazi za uongozi wa kisiasa na maamuzi na hatua zilizochukuliwa kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata elimu bora na salama.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mshauri wa Rais Trump kuhusu masuala ya maendeleo ya wanawake Balozi Kelley Currie mazungumzo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.

Matembezi ya raia wa Italia wapatao milioni 60 yamedhibitiwa kutokana na mlipuko. Italia ina idadi kubwa zaidi ya vifo vya virusi vya corona baada ya China.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hatua ya Makundi UEFA yakamilika, hii ndiyo listi ya timu zilizofuzu hatua ya 16 bora

2F3824FE00000578-3353037-image-a-25_1449700421460

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA imekamilika usiku wa jumatano kwa kupatikana timu nyingine 8 ambazo zitaungana na timu 8 zilizofuzu jumanne kuingia katika hatua ya 16 bora.

Timu ambazo zimefuzu kuingia hatua ya 16 bora ni;

GROUP A;

Real Madrid

Paris Saint-German

GROUP B;

Wolfsburg

PSV Eindhoven

GROUP C;

Atletico Madrid

Benfica

GROUP D;

Manchester City

Juventus

GROUP E;

Barcelona

Roma

GROUP F;

Bayern Munich

Arsenal

GROUP G;

Chelsea

Dynamo Kyiv

GROUP H;

 

10 years ago

Michuzi

DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam

Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimetaja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam,inayotarajia kuanza kutimua vumbi mapema mwezi huu.Katika kundi (A) limepangwa kuwa na timu za Simba U20,Red Coast,Sifa UTD,Shababi,Ukonga UTD,Zakhem,Ugimbi,Beirahotspurs na Pan Africa.Katika kundi (B) litakuwa na timu za Yanga U20,Stakishari,FFU,New Kunduchi,Sinza Stars,Changanyikeni,Tuamoyo,Sifapilitan na Azania Unga.
Ligi hiyo ya mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani