MAREKANI YARIDHISHWA NA HATUA ZA TANZANIA KATIKA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE
Marekani imeeleza kufurahishwa na mafanikio ya Tanzania katika masuala ya ushirikishwaji wa wanawake katika ngazi za uongozi wa kisiasa na maamuzi na hatua zilizochukuliwa kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata elimu bora na salama.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mshauri wa Rais Trump kuhusu masuala ya maendeleo ya wanawake Balozi Kelley Currie mazungumzo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qe-3ZiV_lgc/VgmfeA4vroI/AAAAAAAH7o0/RXSTMVPB7go/s72-c/images.jpg)
Tanzania yatangaza hatua tano za kuendeleza haki za wanawake na usawa wa kijinsia
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-qe-3ZiV_lgc/VgmfeA4vroI/AAAAAAAH7o0/RXSTMVPB7go/s200/images.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITanzania yatangaza hatua tano za kuendeleza haki za wanawake na usawa wa kijinsia· Yaahidi kufanya mabadiliko makubwa ya kisera na...
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hPjaf_89fwI/VBrPCfElBeI/AAAAAAAGkQk/2vucvxi2qlk/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Babu na mjukuu wake wafanikiwa kuingia hatua ya tatu katika shindano la Tanzania Movie Talents
Washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents ambao ni babu na mjukuu wake kiuhalisia wakipongezana mara baada ya kufanikiwa kuingia hatua ya tatu ya kutafuta washiriki 15 bora na hatimaye kupatikana washindi watatu bora wa kanda ya kati ambapo kila mmoja ataondoka na kitita cha shilingi laki tano za kitanzania.
Mmoja wa washiriki wa shindano la Tanzania Movie Talents akihojiwa na Msanii Joti mara baada ya kufanikiwa kuingia hatua ya tatu hapo kesho huku mjukuu wake pia akifanikiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s72-c/guns.jpg)
TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI
![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s1600/guns.jpg)
Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...
10 years ago
Habarileo29 Aug
Benki ya Dunia yaridhishwa na Tanzania
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendeshwa na Serikali, inayofadhiliwa na benki hiyo. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhamini Uwekezaji (Miga), Michael Wormser, amesema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Marekani yakasirishwa na hatua ya Israel