Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yalaani ICC kuhusu Israel

Marekani imelaani hatua ya mahakama ya kimaitaifa ya uhalifu wa kivita ICC kuanzisha uchunguzi dhidi ya Israel

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

CUF yalaani Israel kuishambulia Gaza

Chama cha Wananchi (CUF) kimelaani mashambulizi ya kivita yanayoendelea kufanywa na Israeli dhidi ya Wapalestina katika eneo la ukanda wa Gaza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel:Wanajeshi wetu hawaendi ICC

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kuwa hatakubali wanajeshi wake kuwasilishwa mbele ya mahakama ya ICC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani mauaji ya mwandishi

Rais Barack Obama wa Marekani amesema mauaji ya mwandishi wa habari James Foley yameishtua dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani mauaji Sudan Kusini

Ikulu ya White House imeelezea kushangazwa na mauaji ya kinyama ya mamia ya raia Sudan Kusini na kutoa wito wa kusitishwa kwa vurugu zinazoendelea nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani vita nchini Libya

Marekani iliongoza mataifa ya Magharibi kulaani kuchacha kwa vita nchini Libya baada ya ndege zisizojulikana kulipua Tripoli

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani kufutwa kwa matokeo Zanzibar

Marekani imelaani hatua ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC ya kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais pamoja na wajumbe wa bunge la wawakilishi visiwani humo.

 

9 years ago

Bongo5

Kagame kugombea muhula wa tatu, Marekani yalaani

BN-CL122_RWANDA_G_20140418150011

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa tatu wa Urais baada ya wananchi kupigia kura rasimu ya katiba inayomruhusu kufanya hivyo.

BN-CL122_RWANDA_G_20140418150011

Akihutubia taifa hilo siku ya mwaka mpya, Kagame alidai kuwa uamuzi wake huo umetokana na chaguo la wananchi wake.

Wananchi wa Rwanda waliipigia kura rasimu ya katiba hiyo December 18 kumruhusu Kagame, 58, kuwania tena muhula mwingine wa urais mwaka 2017 wenye miaka saba.

Katiba hiyo itamruhusu kuwania tena mihula mingine miwili ya miaka kumi hadi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan yalaani kanda kuhusu mateka

Waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe, amelaani kanda nyengine mpya ya video inayomwonyesha raia mmoja wa Japan akiwa ameshikwa mateka na kundi la Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yakasirishwa na hatua ya Israel

Marekani imesema kuwa ina wasiwasi mwingi kwamba maafisa wa Polisi wa Israel wamempiga vibaya kijana mmoja raia wa Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani