Butiku aionya CCM
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amekionya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa kipo hatarini kupoteza madaraka katika uchaguzi mkuu ujao, iwapo kitafanya makosa na kuendekeza ubinafsi na utawala wa kiimla unaotokana na utamaduni wa rushwa na matumizi mabaya ya mali za umma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania15 Oct
Butiku kuishtaki CCM
NA WAANDISHI WETU
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Serikali imesusia maadhimisho ya 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.
Hali hiyo imejidhihirisha jana baada ya MTANZANIA kutembelea yaliyokuwa makazi ya Mwalimu Nyerere, Msasani Dar es Salaam na kutokuta chochote kilichokuwa kikifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo.
Licha ya kutokuta dalili yoyote ya maadhimisho hayo, nyumbani hapo kulikuwa na watoto waliokuwa wakifanya usafi.
Waandishi wetu...
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Kada aionya CCM urais
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Pinda aionya CCM uteuzi wa wagombea
10 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
10 years ago
Mwananchi17 Aug
Butiku: CCM ililea mtandao unaoitesa
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Butiku: Viongozi CCM magwiji wa kuvunja Katiba
11 years ago
Mwananchi03 Aug
MJADALA: Kasaka, Butiku: Sera ya CCM ni Serikali mbili kwenda moja
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Lunyamila aionya Yanga
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Dk. Mbasa aionya serikali
MBUNGE wa Bihalamuro, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana kama itashindwa kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli...