Dk. Mbasa aionya serikali
MBUNGE wa Bihalamuro, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana kama itashindwa kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Lowassa aionya Serikali
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA mgombea urais wa Chadema chini ya mwavuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, amezitahadharisha mamlaka mbalimbali kuacha kuwaandama wafanyabiashara na wananchi waliokuwa wanaunga mkono vyama vya upinzani wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba, mwaka jana.
Lowassa ametoa tahadhari hiyo wakati akitoa salamu za Mwaka Mpya kwenye ibada ya shukrani iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Ushirika...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Wako aionya serikali Katiba mpya
MWANASHERIA Mkuu wa Kenya, Amos Wako, amesema machafuko katika mchakato wa kuandika Katiba hujitokeza pale serikali inapotaka kuteka nyara maoni ya wananchi. Wako alitoa changamoto hiyo kwa wajumbe wa Bunge...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Mbasa atetea pensheni ya wazee
MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana pasipo kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mbasa alia uhaba wa walimu Biharamulo
MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), ameitaka serikali ieleze ni lini itaweza kupambana na uhaba wa walimu wa fani mbalimbali wilayani Biharamulo. Pia ametaka kuelezwa serikali ina mpango gani...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Butiku aionya CCM
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Lunyamila aionya Yanga
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
Obama aionya korea kazkazini
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Kada aionya CCM urais
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Pinda aionya CCM uteuzi wa wagombea