Lowassa aionya Serikali
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA mgombea urais wa Chadema chini ya mwavuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, amezitahadharisha mamlaka mbalimbali kuacha kuwaandama wafanyabiashara na wananchi waliokuwa wanaunga mkono vyama vya upinzani wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba, mwaka jana.
Lowassa ametoa tahadhari hiyo wakati akitoa salamu za Mwaka Mpya kwenye ibada ya shukrani iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Ushirika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Lowassa aionya NEC, Magufuli atambia barabara
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Dk. Mbasa aionya serikali
MBUNGE wa Bihalamuro, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana kama itashindwa kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Wako aionya serikali Katiba mpya
MWANASHERIA Mkuu wa Kenya, Amos Wako, amesema machafuko katika mchakato wa kuandika Katiba hujitokeza pale serikali inapotaka kuteka nyara maoni ya wananchi. Wako alitoa changamoto hiyo kwa wajumbe wa Bunge...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Lunyamila aionya Yanga
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Butiku aionya CCM
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
Obama aionya korea kazkazini
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Kada aionya CCM urais
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Tatizo ni Lowassa au serikali?
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, amerudia wito wake wa kuitaka serikali kutafuta ufumbuzi wa kuboresha elimu nchini, akisema iko hoi kiasi cha kuzalisha wataalam wasioajirika. Lowassa ambaye pia ni mbunge...
10 years ago
Mtanzania24 Mar
Kikwete aionya polisi matumizi ya nguvu
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi nchini kuacha kutumia nguvu kupita kiasi kwa wananchi wakati linapotekeleza majukumu yake ya kazi.
Pia amelitaka kuwa makini kutokana na nchi kukabiliwa na mambo matatu muhimu ya uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapigakura, kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu.
Rais Kikwete aliyasema hayo Dar es Salaam jana alipofunga mafunzo ya uongozi katika ngazi ya urakibu katika Chuo Cha Taaluma ya Polisi...