Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo ni Lowassa au serikali?

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, amerudia wito wake wa kuitaka serikali kutafuta ufumbuzi wa kuboresha elimu nchini, akisema iko hoi kiasi cha kuzalisha wataalam wasioajirika. Lowassa ambaye pia ni mbunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Askofu Gwajima: Tatizo la Dk Slaa si Lowassa

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alitumia takribani saa moja na dakika saba kujibu mashambulizi ya Dk Willibrod Slaa, akisema kilichomuondoa Chadema si uamuzi wa kumpa Edward Lowassa nafasi ya kugombea urais, bali mkewe Josephine Mushumbuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa amsifu JK kumaliza tatizo la maji Monduli

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amezindua mradi wa maji wa Bwawa la Leken katika Kijiji cha Selela uliogharimu Sh1.1 bilioni, huku akiupongeza uongozi wa Rais Jayaka Kikwete kwa kusaidia kuondoa tatizo hilo kwa binadamu na mifugo wilayani hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo si wamachinga, ni serikali

HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kukabili tatizo la tabianchi

SERIKALI imesema bado inategemea fedha zaidi kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo ili kufanya mambo mengi zaidi katika kukabiliana na tatizo la tabianchi, ambalo kwa sasa limezikumba nchi nyingi duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige: Idadi ya Serikali si tatizo la Muungano

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ametofautiana na msimamo wa chama chake cha CCM, kuhusu Muundo wa Muungano.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pareso: Serikali itatue tatizo la vifaa tiba Muhimbili

MBUNGE wa Viti Maalum, Cecilia Pareso (CHADEMA) ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani ya kutatua matatizo ya ukosefu wa vifaa tiba, madawa pamoja na vifungashio ambavyo vinaikabili Hospitali ya Rufaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni dhahiri Serikali haijalivalia njuga tatizo la wahitimu mbumbumbu

Imani ya Watanzania wengi ni kuwa Serikali, kupitia vyombo vunavyosimamia sekta ya elimu, imekuwa ikijipanga vilivyo kuondoa madudu mbalimbali yanayoitia doa sekta hiyo mama.

 

9 years ago

Mwananchi

SHERIA NGOWI : Nitaisaidia Serikali kupunguza tatizo la ajira

Ni nembo iliyojizolea umaarufu mkubwa duniani. Imewahi kuvaliwa na watu maarufu wakiwamo Rais Jakaya Kikwete pamoja na rais Edgar Lungu wa Zambia, si ajabu kusikia nembo hii ikivalisha mawaziri na hata Rais mpya wa nchi hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani