Pareso: Serikali itatue tatizo la vifaa tiba Muhimbili
MBUNGE wa Viti Maalum, Cecilia Pareso (CHADEMA) ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani ya kutatua matatizo ya ukosefu wa vifaa tiba, madawa pamoja na vifungashio ambavyo vinaikabili Hospitali ya Rufaa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Misri yaleta vifaa tiba, madaktari Muhimbili
SERIKALI ya Misri imetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya sh milioni 400 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuahidi kuleta madaktari kubadilishana uzoefu. Akizungumza katika hafla fupi...
9 years ago
StarTV25 Nov
Muhimbili wapokea msaada wa vifaa tiba kutoka UNICEF
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Donan Mbando amepokea vifaa tiba vyenye thamani ya dola za kimarekani laki moja sawa na shilingi milioni mia mbili na tatu za kitanzania kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF.
Vifaa hivyo vimetolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es Salaam kwa ajili ya kupunguza vifo vya watoto takribani elfu moja ambao hufa kila mwaka kulingana na Takwimu za Wizara ya Afya.
Akipokea msaada huo jengo la watoto katika...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s72-c/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
UZALISHAJI WA VAZI KINGA (PPE) MUHIMBILI WAONGEZEKA KWA 400% HUKU MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA) IKIRIDHIA NA KULITAMBUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s640/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/82d2bf42-47e1-4cec-ab51-b31ce47d2d76.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3969e8fd-1af8-4d67-a70b-bb5ab0b9a4d1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/73764541-ab78-4998-a176-b686d574513a.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yashtukia vifaa tiba asili, mbadala
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hb4InVOSWwI/XoyHv8EAsQI/AAAAAAALmYk/zqFoOZXFD_cSAEGuINcJwfflCvhD07IZACLcBGAsYHQ/s72-c/3a76b624-ef1e-42f2-a0e4-b063f232f273.jpg)
Bashungwa:Serikali kulinda Viwanda vinavyozalisha vifaa tiba ya kujikinga na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hb4InVOSWwI/XoyHv8EAsQI/AAAAAAALmYk/zqFoOZXFD_cSAEGuINcJwfflCvhD07IZACLcBGAsYHQ/s640/3a76b624-ef1e-42f2-a0e4-b063f232f273.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uskOLWH85SU/XoyHwOtydZI/AAAAAAALmYo/jMnVVMZA0Qo6HEb7ZF30937L4sRf-z8YgCLcBGAsYHQ/s640/4e794062-8b13-4cc4-ae59-20f9984edc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kuCCFuPIwr0/XoyHvHQUthI/AAAAAAALmYc/kod8KCR9UPkNyBAYg0tKYe3kcqU63kmjgCLcBGAsYHQ/s640/079cf713-ae35-4bf8-a838-053898bb6642.jpg)
9 years ago
StarTV01 Dec
Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili
Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.
Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.
Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...