Muhimbili wapokea msaada wa vifaa tiba kutoka UNICEF
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Donan Mbando amepokea vifaa tiba vyenye thamani ya dola za kimarekani laki moja sawa na shilingi milioni mia mbili na tatu za kitanzania kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF.
Vifaa hivyo vimetolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es Salaam kwa ajili ya kupunguza vifo vya watoto takribani elfu moja ambao hufa kila mwaka kulingana na Takwimu za Wizara ya Afya.
Akipokea msaada huo jengo la watoto katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Misri yaleta vifaa tiba, madaktari Muhimbili
SERIKALI ya Misri imetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya sh milioni 400 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuahidi kuleta madaktari kubadilishana uzoefu. Akizungumza katika hafla fupi...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Pareso: Serikali itatue tatizo la vifaa tiba Muhimbili
MBUNGE wa Viti Maalum, Cecilia Pareso (CHADEMA) ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani ya kutatua matatizo ya ukosefu wa vifaa tiba, madawa pamoja na vifungashio ambavyo vinaikabili Hospitali ya Rufaa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF YATOA MSAADA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA BABATI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s72-c/viewer.png)
Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s640/viewer.png)
Vifaa hivyo vina thamani ya Dola za Kimarekani Laki moja sawa na zaidi Sh milioni 2 vimetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF),kwa lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni Ventilator, medical, adult –child ,w/access pamoja na Warmer system , newborn,...
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-myMSBU9RMCY/Xq_tIsX2DLI/AAAAAAABMCk/2_vPIzrZUYEWmF6qmV-8JVX-QuJEXNf0QCLcBGAsYHQ/s72-c/95369533_881795262337749_7986312861653663744_o.jpg)
MBUNGE MWAKANG'ATA WA RUKWA AKABIDHI MSAADA WA VIFAA TIBA ZAHANATI YA MAJENGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-myMSBU9RMCY/Xq_tIsX2DLI/AAAAAAABMCk/2_vPIzrZUYEWmF6qmV-8JVX-QuJEXNf0QCLcBGAsYHQ/s400/95369533_881795262337749_7986312861653663744_o.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h3kcCb6aTuM/VCXAp48QPaI/AAAAAAAGmBk/h1JgpuQ7h-s/s72-c/IMG-20140926-WA0025.jpg)
Shirika la EGPAF latoa msaada wa vifaa tiba kwa Hopitali ya Wilaya ya Kilwa
Halfla ya kukabidhi vifaa hivyo vitakavyotumika katika uchunguzi wa awali wa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi kwa akinamama ilifanyika jana katika mji wa Kilwa kivinje.
Akikabidhi vifaa hivyo ikiwamo mashine maalum ya kuchunguzia ili kutambua dalili za awali za ugonjwa huo mratibu wa afya,uzazi na jinsia wa shirika hilo,Angasyege...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yrt82M_CbCY/VnRR2obWszI/AAAAAAAAF0g/bmqClFgKCd8/s72-c/IMG_9369.jpg)
Benki ya NMB Plc Yatoa Msaada wa Vifaa Tiba Zahanati ya Kimara Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-yrt82M_CbCY/VnRR2obWszI/AAAAAAAAF0g/bmqClFgKCd8/s640/IMG_9369.jpg)