Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maige: Idadi ya Serikali si tatizo la Muungano

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ametofautiana na msimamo wa chama chake cha CCM, kuhusu Muundo wa Muungano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Zitto- Muungano ni imani si idadi ya Serikali

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.

 

5 years ago

Michuzi

Muungano wa Utepe mweupe waiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga

 Na Chalila Kibuda,Michuzi TV

MRATIBU  wa Shirika lisilo la kiserikali la Utepe Mweupe (White Ribbon), nchini  Rose Mlay ameiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga katika vituo vya afya, zahanati na hospitali za mikoa ili akina mama wapate huduma nzuri pindi wanapojifungua.

Akizungumza na Michuzi Tv  wa kuelekea Kampeni ya "Wanawake wanataka nini ,Sikiliza Chukua Hatua" iliyoandaliwa na Shirika hilo amesema katika uzazi kuna chabgamoto nyingi wakati wa kujifingua hivyo wanaiomba serikali...

 

11 years ago

Mwananchi

Maige: Tunakosea kuupa Muungano sura ya vyama

Wiki hii, Bunge Maalumu la Katiba limepamba moto kutokana na mipasho na vijembe ambavyo vimeibua gumzo kwa watazamaji na wasikilizaji wa chombo hicho muhimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige avikosoa vyama vya siasa kuhodhi Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba Ezekiel Maige amesema vyama vya siasa vimekosea kufanya muungano kuwa sera yao kwa kuwa kitakachoshinda kikifa, kutakuwa na hatari ya kufa na muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maige aitaka serikali kumdai ABG

MBUNGE wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), ameitaka serikali kuzungumza na mwekezaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu ili ilipe Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni nane za...

 

11 years ago

Mwananchi

Maige adai kuwa na Serikali tatu nchi itaingia maajabu ya dunia

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Almas Maige amesema endapo wajumbe wa Bunge hilo watapitisha muundo wa Serikali tatu, nchi itaingia katika kitabu cha maajabu ya dunia cha Guiness Book of Records.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona

Idadi ya vifo vilivyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona imeongezeka katika nchi za Italia, Uhispania na Ufaransa.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuongeza idadi ya watalii nchini

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake wa Washington DC, Marekani, imeanza mikakati ya kuongeza idadi ya watalii wanaotoka nchini humo kutoka 69,000 hadi kufikia 300,000 kwa mwaka.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUONGEZA IDADI YA NDEGE KUBEBA MINOFU YA SAMAKI



Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo wakati akifungua mkutano wa pili wa kujadili namna ya kurahisisha usafirishaji wa minofu ya samaki kutokea Kiwanja cha Ndege cha Mwanza uliofanyika jijini Dodoma. Kikao hicho kimewakutanisha viongozi wakuu wa Wizara tano kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani