Zitto- Muungano ni imani si idadi ya Serikali
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Maige: Idadi ya Serikali si tatizo la Muungano
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sNbgOAmWtsM/XoXt9REL-pI/AAAAAAALl3E/-RfiThg5iwAtkKGhAyViyAt9OdMxUV2DwCLcBGAsYHQ/s72-c/c8615e86-743d-4ed6-9a32-b978c4262158.jpg)
Muungano wa Utepe mweupe waiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga
MRATIBU wa Shirika lisilo la kiserikali la Utepe Mweupe (White Ribbon), nchini Rose Mlay ameiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga katika vituo vya afya, zahanati na hospitali za mikoa ili akina mama wapate huduma nzuri pindi wanapojifungua.
Akizungumza na Michuzi Tv wa kuelekea Kampeni ya "Wanawake wanataka nini ,Sikiliza Chukua Hatua" iliyoandaliwa na Shirika hilo amesema katika uzazi kuna chabgamoto nyingi wakati wa kujifingua hivyo wanaiomba serikali...
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Zitto: Sina imani na Ukawa
![Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Zitto-Kabwe.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
GABRIEL MUSHI NA VERONICA ROMWALD
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), kwa mara ya kwanza ameibuka na kupingana na harakati za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Zitto amesema hana uhakika wala hauamini Ukawa kama utakuwa umoja endelevu hadi kufikia Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, kwa sababu si mara ya kwanza vyama vya upinzani kuungana na kugawanyika.
Mbali ya kutokuwa na imani na umoja huo, pia ameitaka Serikali kusitisha mchakato wa Katiba...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Muungano si fumbo la imani, tuujadili
KWENYE hili suala la muundo wa Muungano lazima tukubali kwamba CCM na serikali yake imechepuka katika hoja. CCM kama chama wana haki ya kuwa na maoni yao kuhusu muundo wa...
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Serikali kuongeza idadi ya watalii nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pSvEbfF9iZE/XuuHhdUuCVI/AAAAAAALugE/YtiHh18snQ0dFi7ZSGK6q1nlvjWUKeRfQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-28.jpg)
SERIKALI KUONGEZA IDADI YA NDEGE KUBEBA MINOFU YA SAMAKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pSvEbfF9iZE/XuuHhdUuCVI/AAAAAAALugE/YtiHh18snQ0dFi7ZSGK6q1nlvjWUKeRfQCLcBGAsYHQ/s640/1-28.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo wakati akifungua mkutano wa pili wa kujadili namna ya kurahisisha usafirishaji wa minofu ya samaki kutokea Kiwanja cha Ndege cha Mwanza uliofanyika jijini Dodoma. Kikao hicho kimewakutanisha viongozi wakuu wa Wizara tano kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
11 years ago
Habarileo15 Mar
'Serikali 3 zitavunja Muungano'
MJUMBE wa Baraza la Katiba na aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatibu amesema muundo wa Serikali tatu hautaisaidia nchi bali ni njia ya mzunguko kuvunja muungano.