Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto- Muungano ni imani si idadi ya Serikali

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maige: Idadi ya Serikali si tatizo la Muungano

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ametofautiana na msimamo wa chama chake cha CCM, kuhusu Muundo wa Muungano.

 

5 years ago

Michuzi

Muungano wa Utepe mweupe waiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga

 Na Chalila Kibuda,Michuzi TV

MRATIBU  wa Shirika lisilo la kiserikali la Utepe Mweupe (White Ribbon), nchini  Rose Mlay ameiomba serikali kuongeza idadi ya wakunga katika vituo vya afya, zahanati na hospitali za mikoa ili akina mama wapate huduma nzuri pindi wanapojifungua.

Akizungumza na Michuzi Tv  wa kuelekea Kampeni ya "Wanawake wanataka nini ,Sikiliza Chukua Hatua" iliyoandaliwa na Shirika hilo amesema katika uzazi kuna chabgamoto nyingi wakati wa kujifingua hivyo wanaiomba serikali...

 

11 years ago

Mtanzania

Zitto: Sina imani na Ukawa

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

GABRIEL MUSHI NA VERONICA ROMWALD

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), kwa mara ya kwanza ameibuka na kupingana na harakati za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Zitto amesema hana uhakika wala hauamini Ukawa kama utakuwa umoja endelevu hadi kufikia Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, kwa sababu si mara ya kwanza vyama vya upinzani kuungana na kugawanyika.
Mbali ya kutokuwa na imani na umoja huo, pia ameitaka Serikali kusitisha mchakato wa Katiba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muungano si fumbo la imani, tuujadili

KWENYE hili suala la muundo wa Muungano lazima tukubali kwamba CCM na serikali yake imechepuka  katika hoja. CCM kama chama wana haki ya kuwa na maoni yao kuhusu muundo wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona

Idadi ya vifo vilivyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona imeongezeka katika nchi za Italia, Uhispania na Ufaransa.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuongeza idadi ya watalii nchini

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake wa Washington DC, Marekani, imeanza mikakati ya kuongeza idadi ya watalii wanaotoka nchini humo kutoka 69,000 hadi kufikia 300,000 kwa mwaka.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUONGEZA IDADI YA NDEGE KUBEBA MINOFU YA SAMAKI



Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo wakati akifungua mkutano wa pili wa kujadili namna ya kurahisisha usafirishaji wa minofu ya samaki kutokea Kiwanja cha Ndege cha Mwanza uliofanyika jijini Dodoma. Kikao hicho kimewakutanisha viongozi wakuu wa Wizara tano kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...

 

11 years ago

Habarileo

'Serikali 3 zitavunja Muungano'

MJUMBE wa Baraza la Katiba na aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatibu amesema muundo wa Serikali tatu hautaisaidia nchi bali ni njia ya mzunguko kuvunja muungano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani