Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muungano si fumbo la imani, tuujadili

KWENYE hili suala la muundo wa Muungano lazima tukubali kwamba CCM na serikali yake imechepuka  katika hoja. CCM kama chama wana haki ya kuwa na maoni yao kuhusu muundo wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Zitto- Muungano ni imani si idadi ya Serikali

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kabwe Zitto amesema muundo wowote wa serikali uwe serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja Muungano ikiwa hakutakuwa na muafaka wa pande zote mbili za Muungano.

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa ni fumbo la siasa Tanzania

ZAIDI ya Watanzania milioni sita takriban asilimia 40 ya waliopiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa m

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

Mwananchi

afumbua fumbo la wimbo ‘Njoo Uchukue’

Watu wakikimbia wanakozika hudondokea kwenye maiti nyama, siku zote naamini kwamba huwezi kulala kwenye mto hata kama uliokauka, ukitaka kujua mwendo wa mjinga mpe kilemba uone, kama ya kwangu itakusaidia ili kupata, njoo nyumbani uifuate.”

 

11 years ago

Habarileo

Ufunguzi Bunge la Katiba bado fumbo

MPAKA sasa haijulikani lini Bunge Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi, kutokana na kuendelea kusogezwa mbele kwa shughuli muhimu za Bunge hilo kabla ya kufunguliwa kwake.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijibu fumbo la lugha ya kufundishia nchini

>Je, lugha ipi itumike kufundishia elimu ya msingi?  Hili ni swali ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiibua mijadala katika duru za kisomi na ndani ya jamii kwa jumla.

 

5 years ago

BBCSwahili

Conway knot: Jinsi Lisa Piccirillo alivyotatua fumbo la hesabati la miaka 50 katika muda wake wa ziada

Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu nchini Marekani ametatua hesabu ya miaka 50 katika muda wake wa ziada, chini ya kipindi cha wiki moja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Adolf Hitler: Jinsi kiongozi wa Wanazi alivyokufa miaka 75 iliyopita na kwanini mazishi yake yalikuwa fumbo kubwa

Mei 1 1945, taarifa za za kifo cha Hitler zilivyoshangaza dunian na kuonekana kutamatisha Vita ya Pili ya Dunia

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kubadilika umbo kwa virusi vya corona: Fumbo kwa wanasayansi juu ya athari za virusi

Utafiti umetambua kuwa kubadilika kwa hali na umbile la virusi vya corona mbako wanasema kunaweza kusababisha virusi vya corona kuwa vya maambukizi zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani