Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa ni fumbo la siasa Tanzania

ZAIDI ya Watanzania milioni sita takriban asilimia 40 ya waliopiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa m

Njonjo Mfaume

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa amjulia hali mwalimu wake wa siasa

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimjulia hali Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Arusha,Mzee Jackson Kaaya nyumbani kwake Poli Meru wakati alipofika kumuona na kumsabahi.Pembeni ni mkewe Bibi Jacobert Kaaya.Mzee Kaaya mwenye umri wa miaka 94 alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa TANU Mkoa wa Arusha hadi alipostaafu mwaka 1984.
Mh. Lowassa alikuwa Katibu wa Chama wa mkoa enzi za uenyekiti wa Mzee Kaaya na ndiye aliyemfudisha uongozi wa kisiasa.Katika maongezi yao Mzee...

 

11 years ago

Michuzi

Wakongwe wa siasa nchini Kenya wamtembelea Mh. Lowassa Monduli

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh Edward Lowassa (watatu kulia) akiwakaribisha Mawaziri wa zamani wa nchini Kenya William ole Ntimama (tai nyekundu) na John Keen (kushoto) nyumbani kwake Monduli. Wanasiasa hao wakongwe na wenye ushawishi mkubwa katika eneo la Maasai Land nchini Kenya walimtembelea Mh. Lowassa ambaye ni Laigwanan Mkuu wa Wamasai wote Afrika Mashariki, na kujadiliana naye masuala mbalimbali lakini zaidi ni juu ya suala la ardhi ambalo limekuwa tatizo kubwa kwa jamii...

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli, Lowassa nani atatufaa kwa siasa za nje?

“Msifanye mabadiliko kwa pupa kama watu wa Libya. Walimuondoa madarakani rais Saddam, hapana rais Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!”.Sikuamini masikio yangu kwamba haya ni maneno yaliyotoka kinywani mwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO SIASA ONA MWENYEWE LOWASSA AKIMNADI KUBENEA


Juu ni Kubenea akinyanyuliwa mkono na Lowassa kunadiwa kwa kiti cha Ubunge Ubungo mwaka 2015. Chini ni makala aliyowahi kuandika Kubenea kuhusu Edward Lowassa.Mabilioni yatengwa kumsafisha Lowassa

Na Saed Kubenea
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya mkataba tata wa Richmond, Edward Lowassa ameelezwa kuwa na mradi wa karibu Sh. 8 bilioni wa “kujisafisha” na kumwingiza ikulu.Lowassa alipoulizwa na gazeti hili kuhusu mradi huo, alijibu kwa mkato, “Mimi sijui.”MwanaHALISI limeelezwa kwamba fedha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muungano si fumbo la imani, tuujadili

KWENYE hili suala la muundo wa Muungano lazima tukubali kwamba CCM na serikali yake imechepuka  katika hoja. CCM kama chama wana haki ya kuwa na maoni yao kuhusu muundo wa...

 

10 years ago

Mwananchi

afumbua fumbo la wimbo ‘Njoo Uchukue’

Watu wakikimbia wanakozika hudondokea kwenye maiti nyama, siku zote naamini kwamba huwezi kulala kwenye mto hata kama uliokauka, ukitaka kujua mwendo wa mjinga mpe kilemba uone, kama ya kwangu itakusaidia ili kupata, njoo nyumbani uifuate.”

 

11 years ago

Habarileo

Ufunguzi Bunge la Katiba bado fumbo

MPAKA sasa haijulikani lini Bunge Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi, kutokana na kuendelea kusogezwa mbele kwa shughuli muhimu za Bunge hilo kabla ya kufunguliwa kwake.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijibu fumbo la lugha ya kufundishia nchini

>Je, lugha ipi itumike kufundishia elimu ya msingi?  Hili ni swali ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiibua mijadala katika duru za kisomi na ndani ya jamii kwa jumla.

 

5 years ago

BBCSwahili

Conway knot: Jinsi Lisa Piccirillo alivyotatua fumbo la hesabati la miaka 50 katika muda wake wa ziada

Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu nchini Marekani ametatua hesabu ya miaka 50 katika muda wake wa ziada, chini ya kipindi cha wiki moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani