Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


afumbua fumbo la wimbo ‘Njoo Uchukue’

Watu wakikimbia wanakozika hudondokea kwenye maiti nyama, siku zote naamini kwamba huwezi kulala kwenye mto hata kama uliokauka, ukitaka kujua mwendo wa mjinga mpe kilemba uone, kama ya kwangu itakusaidia ili kupata, njoo nyumbani uifuate.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Mrisho Mpoto ft. Felly Kano — Njoo Uchukue

Huu mi wimbo mpya kutoka kwa Mrisho Mpoto akimshirikisha Felly Kano wimbo unaitwa “Njoo Uchukue”

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mpoto ashoot video ya wimbo ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa

Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ameanza kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam pamoja na sehemu nyingine. Mpoto akiimba Akizungumza na Bongo5 leo msemaji wa Mpoto Theatre Gallery Ltd , Dominic Kaunda, alisema ndani ya video hiyo inayofanyWa na director Adam Juma wamewatumia […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wazindua wimbo wao mpya kwa kishindo, leo ndani ya Thai Village hapatoshi njoo ucheze na kufurahi na staili mpya kibaoo!!

Divas wa Skyligth Band toka kushoto Aneth Kushab,Mary Lukos(katikati) na Digna Mpera(kulia)wakilianzisha Taratibuuu Ijumaa Iliyopita huku wakipendeza na kivazi chao cha asili ya Kitanzania

Diva wa Skylight Band Mary Lukos akilitiririsha Vocal kaliiiiii

Diva wa Skylight Band Digna Mpera akilisogeshaaaa taratibuuuuuuuu

Meneja mwenyeweee  Aneth Kushaba kwa raha zakeeeee Akiiimba kwa furaha kabisa ndani ya Kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita,ambayo ilikuwa ni uzinduzi Rasmi wa Wimbo wao...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND WAZINDUA WIMBO WAO MPYA KWA KISHINDO,LEO NDANI YA THAI VILLAGE HAPATOSHI NJOO UCHEZE NA KUFURAHI NA STAILI MPYA KIBAOO!!‏

Divas wa Skyligth Band toka kushoto Aneth Kushab,Mary Lukos(katikati) na Digna Mbepera(kulia)wakilianzisha Taratibuuu Ijumaa Iliyopita huku wakipendeza na kivazi chao cha asili ya Kitanzania Diva wa Skylight Band Mary Lukos akilitiririsha Vocal kaliiiiii…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muungano si fumbo la imani, tuujadili

KWENYE hili suala la muundo wa Muungano lazima tukubali kwamba CCM na serikali yake imechepuka  katika hoja. CCM kama chama wana haki ya kuwa na maoni yao kuhusu muundo wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa ni fumbo la siasa Tanzania

ZAIDI ya Watanzania milioni sita takriban asilimia 40 ya waliopiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa m

Njonjo Mfaume

 

11 years ago

Habarileo

Ufunguzi Bunge la Katiba bado fumbo

MPAKA sasa haijulikani lini Bunge Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi, kutokana na kuendelea kusogezwa mbele kwa shughuli muhimu za Bunge hilo kabla ya kufunguliwa kwake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani