Maige avikosoa vyama vya siasa kuhodhi Muungano
Mjumbe wa Bunge la Katiba Ezekiel Maige amesema vyama vya siasa vimekosea kufanya muungano kuwa sera yao kwa kuwa kitakachoshinda kikifa, kutakuwa na hatari ya kufa na muungano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Maige: Tunakosea kuupa Muungano sura ya vyama
Wiki hii, Bunge Maalumu la Katiba limepamba moto kutokana na mipasho na vijembe ambavyo vimeibua gumzo kwa watazamaji na wasikilizaji wa chombo hicho muhimu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWntgnHXjghAmfo622aeeI8xHVW7f2LhfWZBhM5IC8bvhLMnLc4t91E1zaad*G2Se5VjQo3PWPkOSfRQoGCjv42d/ErnestMangu.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!
Elnest Mangu. TANZANIA tuna majeshi kadhaa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotambulika kisheria. Tunalo Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza. Chini yake, JWTZ unawakuta JKT, kwa polisi, tunao Zimamoto, FFU, Usalama barabarani (Trafiki) na Mgambo. Majeshi na vikosi hivi vina majukumu yanayofahamika na kukubalika. Kwa hiyo haishangazi tunapoona polisi wakitumika kuwakamata majambazi, ambao wakati mwingine...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s72-c/RG1A1518.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA NENO KWA VIONGOZI VYA VYAMA VYA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s400/RG1A1518.jpg)
“Hivyo basi, tudumishe utulivu, amani, mshikamano pamoja na ustaarabu wetu wa Kitanzania katika kipindi chote cha kampeni na Uchaguzi Mkuu ili kulifanya Taifa letu kuendelea kuwa kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa barani Afrika na duniani kwa ujumla.”
Waziri Mkuu...
9 years ago
GPL05 Oct
10 years ago
MichuziVYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWEKA VIPENGELE VYA WATOTO KWENYE ILANI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
VYAMA vya Siasa nchini katika kuelekea Uchaguzi Mkuu vimetakiwa katika ilani zao, kuweka vipengele vya watoto kutokana na kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi ya mtoto.
Hayo wameyasema watoto wakati wa mkutano uliondaliwa na Shirika la Save the Children kupitia Ajenda ya Mtoto inayoshirikisha mashirika 30 yanayojighulisha na masuala ya watoto kwa kuwakutanisha viongozi wa vyama vya siasa na watoto ,katika kujadili nafasi ya mtoto katika ilani zao kuelekea...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania