Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maige: Tunakosea kuupa Muungano sura ya vyama

Wiki hii, Bunge Maalumu la Katiba limepamba moto kutokana na mipasho na vijembe ambavyo vimeibua gumzo kwa watazamaji na wasikilizaji wa chombo hicho muhimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maige avikosoa vyama vya siasa kuhodhi Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba Ezekiel Maige amesema vyama vya siasa vimekosea kufanya muungano kuwa sera yao kwa kuwa kitakachoshinda kikifa, kutakuwa na hatari ya kufa na muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige: Idadi ya Serikali si tatizo la Muungano

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ametofautiana na msimamo wa chama chake cha CCM, kuhusu Muundo wa Muungano.

 

5 years ago

Michuzi

Kombe la Mapinduzi Kuboreshwa ili Liwe na Sura ya Muungano.

 Mhe.Mahmoud Thabiti Kombo Waziri wa Habari,Utalii na Mambo ya kale SMZ (katikati) akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika kikao cha mawaziri kilichofanyika julai,2019 jijini Dodoma pamoja na mapendekezo ya maeneo mapya ya ushirikiano baina ya Wizara zenye dhamana ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo SMT na SMZ kilichofanyika Zanzibar machi 04,2020.Kushoto ni Mhe Harrison Mwakyembe Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo (SMT) na...

 

11 years ago

Habarileo

Vyama vyaazimia kulinda Muungano

VIONGOZI wa vyama vya siasa, asasi za kiraia na asasi za dini waliokutana kutafuta maridhiano kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba wiki ijayo, wamekubaliana kuhakikisha Muungano uliopo unaimarishwa na kudumishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Sheria itungwe kuruhusu muungano wa vyama

Juzi vyama vya upinzani vimeandika historia mpya tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, baada ya vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa, kumtangaza mgombea mmoja wa urais wa Jamhuri ya Muungano na mgombea mmoja kwa nafasi ya urais wa Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano

VYAMA vya siasa  vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho  ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...

 

9 years ago

Bongo5

BASATA, wadau waweka mikakati kuupa hadhi muziki wa Reggae

Wadau wa muziki wa reggae nchini kwa kujengewa mazingira na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) wameweka mikakati ya pamoja ya kuhakikisha wanaurudisha jukwaani muziki huo na kuainisha changamoto mbalimbali zinazoukabili. Katibu wa chama cha waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz) Hassan Bumbuli akisisitiza jambo wakati akiongea na wadau wa muziki wa reggae […]

 

11 years ago

Mwananchi

Dk. Semakafu: Tunakosea kuligeuza Bunge kuwa vita

Watanzania wanaofuatilia Bunge Maalumu la Katiba hawatamsahau Dk. Ave Maria Semakafu. Hii ni kutokana na harakati zake katika kuhakikisha kuwa Bunge hilo linazingatia usawa wa kijinsia. Fuatilia makala haya kumjua mjumbe huyo machachari wa Bunge la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Kumbe tunakosea kulitamka jina la Maximo

Marcio Maximo amerudi Tanzania, kwa ajili ya kuinoa klabu ya Yanga inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani