Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Semakafu: Tunakosea kuligeuza Bunge kuwa vita

Watanzania wanaofuatilia Bunge Maalumu la Katiba hawatamsahau Dk. Ave Maria Semakafu. Hii ni kutokana na harakati zake katika kuhakikisha kuwa Bunge hilo linazingatia usawa wa kijinsia. Fuatilia makala haya kumjua mjumbe huyo machachari wa Bunge la Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisoma hotuba yake ya shukrani kwa wajumbe wa Mkutano wa 36 wa Bunge la SADC ambao ni Maspika na Wabunge kutoka Mabunge ya nchi wanachama wa wa SADC baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Bunge hilo kwa miaka miwili ijayo Mjini Victoria Falls, Zimbabwe. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akielekezwa jambo na Katibu Mkuu wa Bunge la SADC Dkt. Esau Chiviya mara baada ya kukalia kiti cha Urais wa Bunge hilo baada ya kuchaguliwa rasmi kuwa rais wa Bunge hilo.Spika wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoro bungeni wadhibitiwe, asema Semakafu

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Dk. Ave-Maria Semakafu, amewataka wajumbe wenzake kutafuta njia ya kuwabana wajumbe watoro katika Kanuni za Uendeshaji wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige: Tunakosea kuupa Muungano sura ya vyama

Wiki hii, Bunge Maalumu la Katiba limepamba moto kutokana na mipasho na vijembe ambavyo vimeibua gumzo kwa watazamaji na wasikilizaji wa chombo hicho muhimu.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Semakafu: Sipendi mijadala inayohusu madaraka pekee

Wakati Bunge la Katiba likiendelea na safari yake ya kuchambua Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya huku kukiwa na ombwe la baadhi ya wajumbe kususia vikao, baadhi ya makundi maalumu yanatoa angalizo kuwa lazima wajumbe wazingatie maoni waliyoyatoa.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Kumbe tunakosea kulitamka jina la Maximo

Marcio Maximo amerudi Tanzania, kwa ajili ya kuinoa klabu ya Yanga inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Vita ya uenyekiti Bunge la Katiba

Kadiri siku zinavyosogelea uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, ndivyo mpasuko ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) unavyozidi, kutokana na kuwapo kwa makundi mawili yanayojipanga kusimamisha wagombea na ambayo yameanza kuendesha kampeni kuchafuana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita ya Sitta, Chenge yavuruga Bunge

HARAKATI za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge kutaka kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, zimeelezwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Peter Msigwa amemvaa Askofu Donald Mtetemela na kumtaka avae rasmi magwanda ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani