Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Semakafu: Sipendi mijadala inayohusu madaraka pekee

Wakati Bunge la Katiba likiendelea na safari yake ya kuchambua Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya huku kukiwa na ombwe la baadhi ya wajumbe kususia vikao, baadhi ya makundi maalumu yanatoa angalizo kuwa lazima wajumbe wazingatie maoni waliyoyatoa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watoro bungeni wadhibitiwe, asema Semakafu

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Dk. Ave-Maria Semakafu, amewataka wajumbe wenzake kutafuta njia ya kuwabana wajumbe watoro katika Kanuni za Uendeshaji wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk. Semakafu: Tunakosea kuligeuza Bunge kuwa vita

Watanzania wanaofuatilia Bunge Maalumu la Katiba hawatamsahau Dk. Ave Maria Semakafu. Hii ni kutokana na harakati zake katika kuhakikisha kuwa Bunge hilo linazingatia usawa wa kijinsia. Fuatilia makala haya kumjua mjumbe huyo machachari wa Bunge la Katiba.

 

9 years ago

MillardAyo

Ninayo mipango ya Jiji inayohusu machinga Mwanza…

Hii ni kwa watu wangu wanaofanya biashara zao katikati ya mji iwe ni pembeni ya barabara au mbele ya maduka 88.1 Mwanza, machinga endelea kuomba mipango ikamilike mtu wangu…nikutoka kwa Meya wa Jiji la Mwanza James Bwire ana sentensi zake anataka zikufikie; – James Bwire ‘Lazima tutafakari kwa kina ni kwa namna gani hawa wananchi […]

The post Ninayo mipango ya Jiji inayohusu machinga Mwanza… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

ripoti ya maoni inayohusu mabadiliko ya Tabianchi kuwasilishwa Peru

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge (wa kwanza kushoto), akipokea ripoti ya maoni inayohusu mabadiliko ya Tabianchi kutoka kwa Uester Kibona ambaye ni mwenyekiti wa Asasi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na Mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira (FORUM CC). Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge  (wa kwanza kushoto) na Naibu Waziri  Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu (wa pili...

 

11 years ago

Habarileo

JK: Sipendi kusutwa

Rais Jakaya Kikwete (katikati) akikata utepe, wakati wa uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami kutoka Tunduru mkoani Ruvuma kwenda Mangaka mkoa jirani wa Mtwara. Barabara hiyo itajengwa na kampuni ya Synohydro kutoka China. Wa kwanza kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Balozi mdogo wa Japan, Kazuyoshi Matsunanga,Waziri wa Ujenzi John Magufuli na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Chande Nalicho (kulia).RAIS Jakaya Kikwete amesema ametimiza ahadi zake kwa wananchi, kwa kuwa hapendi kusutwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vullu: Epusheni siasa mijadala ya Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Zainabu Vullu, amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuacha kuingiza siasa wakati wa kujadili rasimu ya katiba mpya na badala yake wajikite kujadili masuala yaliyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Polepole: Anayezuia mijadala amepoteza sifa za uongozi

Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole amesema makongamano na mijadala inayohusu Katiba mpya yataendelea kwa sababu ni ya lazima pia ni haki ya kikatiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani