JK: Sipendi kusutwa
RAIS Jakaya Kikwete amesema ametimiza ahadi zake kwa wananchi, kwa kuwa hapendi kusutwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7qjRoWK1cWBrXWWEeJTpk9kO0JHTF*IhFo7aCGoztnO-ZiJf4Leg3MTTuRHmSd5HscnMfAzSjmsIzCxCQTSWnOu/penny.jpg?width=650)
PENNY ABWAGIWA KEKI YA KUSUTWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOCxAImTXfFPPZlNxyCvFzyVaZRhXQa5b7rc-8PCa55DVjnmQLCEPW0hpn0-W762sv16WwnYuAuXCooavjFOT0dE/LNAH.jpg?width=650)
LINAH: SIPENDI KUTUMIA KINGA
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...
10 years ago
Bongo Movies01 Mar
Shamsa: Sipendi Wanaolalamika Kutendwa!
Mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa aina yake, Shamsa Ford leo mtandaoni ametoa mtazamo wake kuhusu swala la watu kulalamika muda wote kuwa wametendwa kwenye maswala la mahusiano ya kimapenzi.
“Huwa sipendi watu wanaolalamika kutwa kwamba wametendwa bila kuangalia nyuma yeye kawaumiza wangapi ambao waliamua tu kumnyamazia na kumpuuza”.
Wengi walionyesha kumuunga mkono kwa kubonyeza kitufe cha kupenda na wengine kushusha komenti zao, Je wewe kwa upande wako swala hili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0kIjRG0lP0V8hRehqpaKqPiw1KsJlu-CvxyLgfLgeKwC9v5qwHnNnKNLTdrwF7C7pGYQ2KH*Icpkat614Sl4gxj/koletha.jpg)
KOLETHA: SIPENDI UHUSIANO NA WASANII
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Thea:Sipendi Vijiwe,Kuepuka Majungu
Mrembo na mwigizaji mkongwe katika filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka na kusema kwamba kwa sasa amebadili aina ya maisha yake kwa kuwaepuka marafiki wanafiki aliokuwa akikutana nao kwenye makundi au vijiwe vya majungu.
Akizungumzia swala hilo, Thea alisema siku hizi hata akienda location anafanya kile kilichompeleka na baada ya hapo anarudi nyumbani mapema ili kumuwahi mumewe.
“Siku hizi nikienda location nafanya kilichonipeleka, nabadilisha nguo narudi nyumbani kwangu maana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k6R7L3tGmbVhrv*NpUznvDViiaDeEn5f7B407M7*cSHGGflCMA764RtzZlnv6gpVW9P86D-w3bDhon84FnpLWKP/Esta.gif?width=650)
ESTER: SIPENDI KUWA NA MARAFIKI WA KIKE!
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Nikki wa Pili: Sipendi michoro ya tattoo
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa Bongo Fleva, Nickson Saimon ‘Nikki Wa Pili’ amesema michoro ya tattoo wanayojichora watu wengi maarufu ni fasheni, hivyo ipo siku itapita na kuonekana haina maana tena, ndiyo maana yeye haipendi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Nikki wa Pili alisema kuwa sifa moja ya fasheni ni kuvuma na kupotea, hivyo ana hofu ya kuchora tattoo kwa kuwa itafika kipindi michoro hiyo itakuwa siyo ujanja tena.
“Ile ni fasheni, watu wanachora na wanapendeza, lakini hawajui kuwa...
10 years ago
Bongo Movies18 Feb
Light: Sipendi Komedi Zinatudhalilisha Wanawake
Mwigizaji wa kike wa filamu Ligth butterfly Mushi ‘Light’ amefunguka kwa kusema kuwa hapendi kuigiza Komedi kwa sababu ni udhalilishaji hasa kwa wanawake, anasema kuwa aliwahi kuchaguliwa kucheza Komedi ya Inye lakini baadae aligundua kilichofanya achaguliwe ni maumbile yake.
“Tunaigiza filamu hakuna udhalilishaji lakini kuna Komedi tuliwahi kucheza ilikuwa inataka wasanii wa kike wawe na maumbile makubwa yaani makalio, kuchesha makalio sasa huo si uchekeshaji ni udhalilishaji, hicho ndio...