Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Light: Sipendi Komedi Zinatudhalilisha Wanawake

Mwigizaji wa kike wa filamu Ligth butterfly Mushi ‘Light’ amefunguka kwa kusema kuwa hapendi kuigiza Komedi kwa sababu ni udhalilishaji hasa kwa wanawake, anasema kuwa aliwahi kuchaguliwa kucheza Komedi ya Inye lakini baadae aligundua kilichofanya achaguliwe ni maumbile yake.

“Tunaigiza filamu hakuna udhalilishaji lakini kuna Komedi tuliwahi kucheza ilikuwa inataka wasanii wa kike wawe na maumbile makubwa yaani makalio, kuchesha makalio sasa huo si uchekeshaji ni udhalilishaji, hicho ndio...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Filamu zenye tafsiri ya Kiingereza kibovu zinatudhalilisha

Mimi napenda uigizaji; uwe katika filamu, vichekesho, maigizo n.k. kama vimetengenezwa katika kiwango kinachoridhisha huwa napenda kuangalia bila kujali igizo hilo limetengenezwa na wasanii wa nchi gani.

 

11 years ago

Habarileo

JK: Sipendi kusutwa

Rais Jakaya Kikwete (katikati) akikata utepe, wakati wa uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami kutoka Tunduru mkoani Ruvuma kwenda Mangaka mkoa jirani wa Mtwara. Barabara hiyo itajengwa na kampuni ya Synohydro kutoka China. Wa kwanza kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Balozi mdogo wa Japan, Kazuyoshi Matsunanga,Waziri wa Ujenzi John Magufuli na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Chande Nalicho (kulia).RAIS Jakaya Kikwete amesema ametimiza ahadi zake kwa wananchi, kwa kuwa hapendi kusutwa.

 

10 years ago

GPL

KOLETHA: SIPENDI UHUSIANO NA WASANII

Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe  kwenye gemu la filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ amefunguka kwamba tangu aingie kwenye fani hiyo hajawahi kuwa na mpenzi msanii na hapendi hata kuwasikia. Msanii mkongwe  kwenye gemu la filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ Akipiga stori na gazeti hili, Koletha alisema kutokana na kwamba anazijua tabia zao kwani anafanya nao kazi pia wakati alipoanza...

 

11 years ago

GPL

LINAH: SIPENDI KUTUMIA KINGA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa kike anayetesa kwenye Bongo Fleva, Esterlina Sanga ‘Linah’ ametoa mpya baada ya kuibuka na kueleza wazi kuwa, awapo faragha hapendi kutumia kinga. Esterlina Sanga ‘Linah’. Linah alisema hayo wakati akizungumza na mwakilishi wa kona hii jijini Dar es Salaam wikiendi iliyopita, ambapo alisisitiza kuwa anachukia sana mipira ya kike na kiume wakati wa tendo kwa vile...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa: Sipendi Wanaolalamika Kutendwa!

Mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa aina yake, Shamsa Ford leo mtandaoni ametoa mtazamo wake kuhusu swala la watu kulalamika muda wote kuwa  wametendwa kwenye maswala la mahusiano ya kimapenzi.

“Huwa sipendi watu wanaolalamika kutwa kwamba wametendwa bila kuangalia nyuma yeye kawaumiza wangapi ambao waliamua tu kumnyamazia na kumpuuza”.

Wengi walionyesha kumuunga mkono kwa kubonyeza kitufe cha kupenda na wengine kushusha komenti zao, Je wewe kwa upande wako swala hili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...

 

9 years ago

Bongo5

Naj: Sipendi mwanaume anayependa soka

11420891_169700666713917_852980019_n

Kama wewe ni mwanaume na ni shabiki wa ligi ya England, ligi kuu ya Tanzania au zingine jipange kwasababu umepoteza kigezo cha kumfanya Naj akuite mpenzi wake.

11363744_907604545959944_844720879_n

Muimbaji huyo wa ‘Don’t Let Me Go’ hapendi mwanaume anayependa soka.

“Sasa hivi siwezi kumdate a guy who likes football,” Naj alisema kwenye kipindi cha Chill na Sky.

“Sio type yangu cause they are so much into other guys in shorts running around for 90 minutes kicking balls halafu mwisho wa siku wanafunga magoli mawili,”...

 

10 years ago

Bongo Movies

Thea:Sipendi Vijiwe,Kuepuka Majungu

Mrembo na mwigizaji mkongwe katika filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka na kusema kwamba kwa sasa amebadili aina ya maisha yake kwa kuwaepuka marafiki wanafiki aliokuwa akikutana nao kwenye makundi   au vijiwe vya majungu.

Akizungumzia swala hilo, Thea alisema siku hizi hata akienda location anafanya kile kilichompeleka  na baada ya hapo anarudi nyumbani mapema ili kumuwahi mumewe.

“Siku hizi nikienda location nafanya kilichonipeleka, nabadilisha nguo narudi nyumbani kwangu maana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate: Sipendi Kutomaswa Kwenye Filamu!

Mwanamitindo na mwigizaji wa filamu, Jokate Mwegelo amesema kuwa hapendi kuigiza sini za mapenzi hasa zile anazotakiwa kushikwashikwa na mwanaume hasa asiyemjua.

Jokate alifunguka hayo wakati paparazi wa GPL alipotaka kujua namna ambavyo wazazi na mpenzi wake wanavyolipokea suala la yeye kuigiza sini za kushikwashikwa na wanaume tofauti katika filamu ndipo alipofunguka kuwa suala hilo limekuwa likipigwa vita na wazazi wake lakini analazimika kufanya kwa sababu ndiyo kazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani