Filamu zenye tafsiri ya Kiingereza kibovu zinatudhalilisha
Mimi napenda uigizaji; uwe katika filamu, vichekesho, maigizo n.k. kama vimetengenezwa katika kiwango kinachoridhisha huwa napenda kuangalia bila kujali igizo hilo limetengenezwa na wasanii wa nchi gani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Natasha: Majina ya Kiingereza kwenye filamu yana mvuto
MWIGIZAJI wa siku nyingi nchini, Susan Humba ‘Natasha’, amesema wazalishaji wa filamu wengi wa Tanzania walikuwa wakitumia majina ya Kiingereza kwenye filamu zao kwa madai kwamba huvutia yanapotamkwa tofauti na ya Kiswahili.
“Wazalishaji wa filamu hizo walikuwa wakidai kwamba majina hayo huvutia kutamkwa mfano ‘My love’, inavuta na inatamkika vema kuliko ‘Mpenzi wangu’.
Hata hivyo, alieleza kwamba miaka ya sasa wengi wamebadilisha hulka hiyo na kutumia majina ya Kiswahili yenye maana husika...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
10 years ago
Bongo Movies18 Feb
Light: Sipendi Komedi Zinatudhalilisha Wanawake
Mwigizaji wa kike wa filamu Ligth butterfly Mushi ‘Light’ amefunguka kwa kusema kuwa hapendi kuigiza Komedi kwa sababu ni udhalilishaji hasa kwa wanawake, anasema kuwa aliwahi kuchaguliwa kucheza Komedi ya Inye lakini baadae aligundua kilichofanya achaguliwe ni maumbile yake.
“Tunaigiza filamu hakuna udhalilishaji lakini kuna Komedi tuliwahi kucheza ilikuwa inataka wasanii wa kike wawe na maumbile makubwa yaani makalio, kuchesha makalio sasa huo si uchekeshaji ni udhalilishaji, hicho ndio...
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JO1Z1Gw1yE/VP4IzYA_ilI/AAAAAAAAAHk/lXEaU6uqmw4/s72-c/kp09032015.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Tuepuke tafsiri potofu ya ‘Valentine’s Day’
LEO ni siku inayowagusa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiamini ndiyo siku ya kuonyeshana upendo ‘Valentine’s Day’, ambayo huadhimishwa Februari 14 kila mwaka. Katika siku hii, wengi hupeana zawadi mbalimbali...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahsx57t9Y7E/XtvUumy32HI/AAAAAAALs2c/dcw2rSY47i8kck3Xu7vbpFoEtvapw-VgwCLcBGAsYHQ/s72-c/8dba7a4b-2f74-467c-9c1b-2a465f5d9f72.jpg)
Serikali Inatekeleza Tafsiri Halisi ya Utawala Bora
![](https://1.bp.blogspot.com/-ahsx57t9Y7E/XtvUumy32HI/AAAAAAALs2c/dcw2rSY47i8kck3Xu7vbpFoEtvapw-VgwCLcBGAsYHQ/s640/8dba7a4b-2f74-467c-9c1b-2a465f5d9f72.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora wa Zanzibari, Mhe.Haroun Ali Suleiman (wa kwanza kulia), akizungumza katika Kikao kifupi na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala B ora walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Unguja, Zanzibari Juni 4, 2020, kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu, Makamu Mwenyekiti Mohamedi Khamis Hamadi, na kushoto ni watendaji kutoka Ofisi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a86a8afb-f5d8-48c2-b265-e8995e6cce1b.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya...