Thea:Sipendi Vijiwe,Kuepuka Majungu
Mrembo na mwigizaji mkongwe katika filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka na kusema kwamba kwa sasa amebadili aina ya maisha yake kwa kuwaepuka marafiki wanafiki aliokuwa akikutana nao kwenye makundi au vijiwe vya majungu.
Akizungumzia swala hilo, Thea alisema siku hizi hata akienda location anafanya kile kilichompeleka na baada ya hapo anarudi nyumbani mapema ili kumuwahi mumewe.
“Siku hizi nikienda location nafanya kilichonipeleka, nabadilisha nguo narudi nyumbani kwangu maana...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-iigKgp9x3DiqyCZ1*ruIgjGygYVBnIhgBtUMoLyib8qxwyujCvnqIbdmrVUqaLPxws5RLYxJDJehogExYvuSkqA/THEA.jpg)
THEA: NIMEEPUKA MAJUNGU!
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Vijana watakiwa kuachana na vijiwe
VIJANA nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kukaa vijiweni bila ya kujishughulisha na kazi yoyote, badala yake watumie fursa zilizopo za ujasirimali ili kujiajiri wao wenyewe na kupambana vilivyo na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgzDaIjLDjN5QqMAmfh2ygba6F95FZv85uQLZXbXfeW5hTC-0KkRBGUdy39hfXNHgD5LB7DEc60SAiHM15W*HMs/jb.jpg?width=650)
JB ATESWA NA MAJUNGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRb*Yn92gs4yWE36z7kEHMmw5HEEHfj48HFwmjQaUyehN8W8iW8vB*rzKXQhTzxV2ksiG3rTSntkbVnuOw8uHhG/wema.jpg)
WEMA AWACHARUKIA WASANII WENYE MAJUNGU
11 years ago
Habarileo24 Jul
JK: Sipendi kusutwa
RAIS Jakaya Kikwete amesema ametimiza ahadi zake kwa wananchi, kwa kuwa hapendi kusutwa.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1Ev8NPX7VOE/U5SKkv3tXgI/AAAAAAAFo7k/zCzTkIAKT0c/s72-c/unnamed+(43).jpg)
CUF kutowavumilia watendaji watakaobainika kuendeleza fitna na majungu
![](http://4.bp.blogspot.com/-1Ev8NPX7VOE/U5SKkv3tXgI/AAAAAAAFo7k/zCzTkIAKT0c/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ulw5n0CbIDI/U5SKkzv9lUI/AAAAAAAFo7c/6z4AAmxoHYg/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gi8c2R9fcoo/U5SKkpvtN1I/AAAAAAAFo7Y/5KhlOKJLR-s/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xAingbELBJQ/U5SKlzWmicI/AAAAAAAFo7s/HoWVnpCJb_s/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0kIjRG0lP0V8hRehqpaKqPiw1KsJlu-CvxyLgfLgeKwC9v5qwHnNnKNLTdrwF7C7pGYQ2KH*Icpkat614Sl4gxj/koletha.jpg)
KOLETHA: SIPENDI UHUSIANO NA WASANII
10 years ago
Bongo Movies01 Mar
Shamsa: Sipendi Wanaolalamika Kutendwa!
Mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa aina yake, Shamsa Ford leo mtandaoni ametoa mtazamo wake kuhusu swala la watu kulalamika muda wote kuwa wametendwa kwenye maswala la mahusiano ya kimapenzi.
“Huwa sipendi watu wanaolalamika kutwa kwamba wametendwa bila kuangalia nyuma yeye kawaumiza wangapi ambao waliamua tu kumnyamazia na kumpuuza”.
Wengi walionyesha kumuunga mkono kwa kubonyeza kitufe cha kupenda na wengine kushusha komenti zao, Je wewe kwa upande wako swala hili...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...