THEA: NIMEEPUKA MAJUNGU!
![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-iigKgp9x3DiqyCZ1*ruIgjGygYVBnIhgBtUMoLyib8qxwyujCvnqIbdmrVUqaLPxws5RLYxJDJehogExYvuSkqA/THEA.jpg)
Gladness Mallya/Mchanganyiko MSANII mkongwe katika filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka na kusema kwamba kwa sasa amebadili aina ya maisha yake kwa kuwaepuka marafiki wanafiki aliokuwa akikutana nao kwenye makundi ya majungu. Msanii mkongwe katika filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’. Akipiga stori mbili tatu na gazeti hili hivi karibuni, Thea alisema siku hizi hata akienda location anafanya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Thea:Sipendi Vijiwe,Kuepuka Majungu
Mrembo na mwigizaji mkongwe katika filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka na kusema kwamba kwa sasa amebadili aina ya maisha yake kwa kuwaepuka marafiki wanafiki aliokuwa akikutana nao kwenye makundi au vijiwe vya majungu.
Akizungumzia swala hilo, Thea alisema siku hizi hata akienda location anafanya kile kilichompeleka na baada ya hapo anarudi nyumbani mapema ili kumuwahi mumewe.
“Siku hizi nikienda location nafanya kilichonipeleka, nabadilisha nguo narudi nyumbani kwangu maana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgzDaIjLDjN5QqMAmfh2ygba6F95FZv85uQLZXbXfeW5hTC-0KkRBGUdy39hfXNHgD5LB7DEc60SAiHM15W*HMs/jb.jpg?width=650)
JB ATESWA NA MAJUNGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRb*Yn92gs4yWE36z7kEHMmw5HEEHfj48HFwmjQaUyehN8W8iW8vB*rzKXQhTzxV2ksiG3rTSntkbVnuOw8uHhG/wema.jpg)
WEMA AWACHARUKIA WASANII WENYE MAJUNGU
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1Ev8NPX7VOE/U5SKkv3tXgI/AAAAAAAFo7k/zCzTkIAKT0c/s72-c/unnamed+(43).jpg)
CUF kutowavumilia watendaji watakaobainika kuendeleza fitna na majungu
![](http://4.bp.blogspot.com/-1Ev8NPX7VOE/U5SKkv3tXgI/AAAAAAAFo7k/zCzTkIAKT0c/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ulw5n0CbIDI/U5SKkzv9lUI/AAAAAAAFo7c/6z4AAmxoHYg/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gi8c2R9fcoo/U5SKkpvtN1I/AAAAAAAFo7Y/5KhlOKJLR-s/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xAingbELBJQ/U5SKlzWmicI/AAAAAAAFo7s/HoWVnpCJb_s/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
GPLKAMATI YA TANZANIA KWANZA YAMTETEA MUHONGO, YASEMA NI MHANGA WA MAJUNGU
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Frank Atema Nyongo, Asema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie
Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.
Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Frank Atema Nyongo,Anasema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie
Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.
Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OFgX-QWRgUg/XufjyZNVCkI/AAAAAAALt98/thyngRm11GAlGARfulqXv__LDyzcYmELACLcBGAsYHQ/s72-c/photo.jpg)
BUNDALA AWAASA WANACCM KONGOWE ,KIBAHA KUACHA SIASA ZA MAJUNGU ILI KUKIIMARISHA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OFgX-QWRgUg/XufjyZNVCkI/AAAAAAALt98/thyngRm11GAlGARfulqXv__LDyzcYmELACLcBGAsYHQ/s200/photo.jpg)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kibaha Mjini ,Pwani ,Maulid Bundala amewaasa baadhi ya wanachama wa CCM Kongowe na Kibaha kijumla kuachana na siasa za majungu na badala yake wajenge umoja ,upendo na mshikamano ili kukiimarisha chama.
Aidha amekemea kupitapita kwa baadhi ya watu wenye nia ya kugombea nafasi za udiwani na ubunge na kudai atakaebainika kupitapita kuanza kampeni kabla ya wakati atachukuliwa hatua .
Akipokea taarifa ya utekelezaji ya ilani kata ya...
9 years ago
MillardAyo20 Dec
H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha)
Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi leo Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.