WEMA AWACHARUKIA WASANII WENYE MAJUNGU
![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRb*Yn92gs4yWE36z7kEHMmw5HEEHfj48HFwmjQaUyehN8W8iW8vB*rzKXQhTzxV2ksiG3rTSntkbVnuOw8uHhG/wema.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata MADAMUUU! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amecharuka na kudai anachukizwa kwa kiasi kikubwa na wasanii ambao wanapenda kumfanyia majungu kutokana na chuki zao binafsi. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Akipiga stori na paparazi wetu, Madam alisema anajua wapo wengi wanaomchukia kutokana na sababu zisizo za msingi kwa kudai kuwa anaringa na vyovyote vile...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
9 years ago
Bongo Movies13 Aug
Wasanii Watakiwa Kukumbuka Watoto Wenye Mahitaji Maalum
Afisa Habari wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Aristides Kwizela (Kushoto) akifuatilia burudani zilizokuwa zikitolewa na watoto wanaondaliwa na Baraza hilo kupitia programu ya ‘Sanaa kwa Watoto’ wakati wakitumbuiza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA mapema wiki hii. Watoto hao wanatoka shule ya Msingi ya Msimbazi iliyoko Ilala jijini Dar es Salaam. Katikati ni Msanii wa filamu Honeymoon Mohamed na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Stadi za wasanii Bi. Vick Temu.
Katibu Mtendaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UyxYit5p5wY/Vcm82bKTOSI/AAAAAAAHwBc/Atp5EGaXBOM/s72-c/1...jpg)
WASANII WATAKIWA KUWAKUMBUKA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM
Wasanii nchini wametakiwa kurejesha kwa jamii sehemu ya faida wanayoipata kupitia kazi zao za Sanaa kwa kuwakumbuka watoto wenye mahitaji maalum ili kujijengea mtandao wa kudumu wa masoko, uhalali na taswira nzuri kwa jamii.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na mtengeneza filamu wa Tanzania mwenye makazi yake nchini Marekani Bi. Honeymoon Mohamed wakati akiwasilisha mada kuhusu Filamu za Kitanzania na Masoko kwenye programu ya Jukwaa la Sanaa inayoandaliwa na Baraza la Sanaa...
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Wasanii, wachezaji Simba kukutana na wenye ‘sickle cell’ leo
NA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)
WASANII wa fani mbalimbali, wachezaji wa soka Ligi Kuu Tanzania Bara na wadau wa afya leo wanaungana katika bonanza la kuadhimisha mwezi wa kuongeza uelewa juu ya ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).
Wasanii watakaokuwepo katika bonanza hilo ni Wema Sepetu, Banana Zorro, Barnaba, Mwana Fa, Vyone Cherry (Monalisa).
Wengine ni mshindi wa tuzo mbili za ZIFF, Honeymoon Mohammed, Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi na kwa upande wa soka watakuwepo baadhi ya...
10 years ago
Bongo518 Oct
Mitandao ya kijamii ni mtaji wenye thamani kubwa kwa wasanii na mastaa
9 years ago
Bongo502 Sep
Ray: Uchaguzi umenifanya niwajue wasanii wenye akili na wasiokuwa nazo
10 years ago
Bongo515 Oct
Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache
9 years ago
Bongo520 Aug
Mrisho Mpoto aja na ‘Kutoka Shambani’, anatafuta wasanii watatu wenye vipaji