Wasanii, wachezaji Simba kukutana na wenye ‘sickle cell’ leo
NA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)
WASANII wa fani mbalimbali, wachezaji wa soka Ligi Kuu Tanzania Bara na wadau wa afya leo wanaungana katika bonanza la kuadhimisha mwezi wa kuongeza uelewa juu ya ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).
Wasanii watakaokuwepo katika bonanza hilo ni Wema Sepetu, Banana Zorro, Barnaba, Mwana Fa, Vyone Cherry (Monalisa).
Wengine ni mshindi wa tuzo mbili za ZIFF, Honeymoon Mohammed, Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi na kwa upande wa soka watakuwepo baadhi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen16 Nov
My journey with sickle cell disease
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.
11 years ago
TheCitizen21 Jun
11,000 babies born with sickle cell
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Monalisa: Tuandae filamu zinazohamasisha ‘sickle cell’
ELLY MHAGAMA (TUDARCO) NA GRACE KASONDE (SJMC)
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ ameomba wasanii wenzake wawe na utamaduni wa kuandaa filamu zitakazohamasisha Watanzania kuhusu ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).
Monalisa alitoa hamasa hiyo jana, katika uzinduzi wa bonanza kuhusu ugonjwa huo lililofanyika Upanga, jijini Dar es Salaam.
“Mimi binafsi nitakuwa balozi wa kuelimisha wasanii wenzangu kuhusu ugonjwa huo na pia naweza kufanya filamu ya hamasa kuhusu ugonjwa...
9 years ago
Bongo505 Jan
Wasanii wa Bongo kukutana Dar leo
![20160104202229](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/20160104202229-300x194.jpg)
Wasanii wa Tanzania Jumanne hii wanakutana jijini Dar es Salaam kuzungumza masuala mbalimbali kuhusu mustakabali wa tasnia yao.
Mkutano huu utafanyika kwenye ukumbi wa Little Theater uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Wasanii wote wamealikwa kushiriki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPLWACHEZAJI WA SIMBA JANA WAKIWA MAZOEZINI KUJIANDAA NA MCHEZO WA LEO
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahXeV9CSWuk/XkV5TIQlEvI/AAAAAAALdTE/qX0tso-ZE04O8gTbRXYWU3oT7XCj4UopwCLcBGAsYHQ/s72-c/06a85e28-9df0-4a2f-83a1-3c149d722005.jpg)
Mawaziri wenye dhamana ya Manejimentiya Maafa wa SADC kukutana Zanzibar
![](https://1.bp.blogspot.com/-ahXeV9CSWuk/XkV5TIQlEvI/AAAAAAALdTE/qX0tso-ZE04O8gTbRXYWU3oT7XCj4UopwCLcBGAsYHQ/s320/06a85e28-9df0-4a2f-83a1-3c149d722005.jpg)
Mkutano wa kwanza wa kamati ya Mawaziri wanaohusika na Menejimenti ya Maafa kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utafanyika tarehe 18-21 Februari visiwani Zanzibar, 2020 ukiwa na lengo la kuchochea juhudi zilizopo katika kupunguza madhara ya maafa ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Zanzibar, Mhe.Dkt. Ali Mohamed Shein.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira,Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista...
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Makonda kukutana na wananchi wa Kinondoni wenye migogoro ya ardhi kila Ijumaa
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
*Aunda kamati ya kushushughulikia Migogoro ya Ardhi Kinondoni
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa wilaya ya Kinondoni inakabiliwa na changamoto migogoro ya ardhi ambayo inatakiwa kila mtu ambaye amenyimwa haki ya ardhi watapata kutokana na utaratibu uliopo.
Makonda aliyasema hayo hivi karibuni wakati ziara ya...