Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.

Tanzania ni nchi ya tano Duniani kwa kuwa na watu wenye ugonjwa wa Sickle Cell.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

My journey with sickle cell disease

At the age of 8, Arafa Salim had already made frequent visits to the hospital. At such a tender age, she didn’t understand why she had to visit the hospital so many times. Out of curiosity, she decided to ask her parents.

 

11 years ago

TheCitizen

11,000 babies born with sickle cell

>The Women and Development Foundation (Wama) has called upon health stakeholders to support ongoing efforts to fight against Sickle Cell Disease (SCD) because it has reached an alarming stage. Latest reports show that every year 11,000 babies are born with the disease in the country.

 

9 years ago

Mtanzania

Monalisa: Tuandae filamu zinazohamasisha ‘sickle cell’

monalisaELLY MHAGAMA (TUDARCO) NA GRACE KASONDE (SJMC)

MWIGIZAJI wa filamu nchini, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ ameomba wasanii wenzake wawe na utamaduni wa kuandaa filamu zitakazohamasisha Watanzania kuhusu ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).

Monalisa alitoa hamasa hiyo jana, katika uzinduzi wa bonanza kuhusu ugonjwa huo lililofanyika Upanga, jijini Dar es Salaam.

“Mimi binafsi nitakuwa balozi wa kuelimisha wasanii wenzangu kuhusu ugonjwa huo na pia naweza kufanya filamu ya hamasa kuhusu ugonjwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Wasanii, wachezaji Simba kukutana na wenye ‘sickle cell’ leo

WEMA SEPETU009NA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)

WASANII wa fani mbalimbali, wachezaji wa soka Ligi Kuu Tanzania Bara na wadau wa afya leo wanaungana katika bonanza la kuadhimisha mwezi wa kuongeza uelewa juu ya ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).

Wasanii watakaokuwepo katika bonanza hilo ni Wema Sepetu, Banana Zorro, Barnaba, Mwana Fa, Vyone Cherry (Monalisa).

Wengine ni mshindi wa tuzo mbili za ZIFF, Honeymoon Mohammed, Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi na kwa upande wa soka watakuwepo baadhi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mungu inusuru Tanzania na ugonjwa wa ebola

Ugonjwa wa ebola umeendelea kuwa tishio katika nchi za Afrika Magharibi ukikatisha maisha ya watu kila kukicha. Mpaka sasa bado juhudi za kupambana na ugonjwa huu hazijazaa matunda makubwa kwani idadi ya vifo imekuwa ikiongezeka.

 

11 years ago

TheCitizen

More cell phones in class please

I was recently left alone with a friend’s younger sister. After a few uneasy side glances I ventured where I’d thought I was to....cool to venture before.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake 20,000 wana ugonjwa wa fistula Tanzania’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa takwimu zinaonyesha kwamba wanawake 20,000 nchini wanaishi na ugonjwa wa Fistula.

 

5 years ago

CCM Blog

TANZANIA IPO SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA

   Na Englibert Kayombo, WAMJW, Arusha.Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewahakikisha Watanzania kuwa nchi bado iko salama na hakuna mgonwjwa yeyote mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona. 
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani