Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.
Tanzania ni nchi ya tano Duniani kwa kuwa na watu wenye ugonjwa wa Sickle Cell.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen16 Nov
My journey with sickle cell disease
11 years ago
TheCitizen21 Jun
11,000 babies born with sickle cell
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Monalisa: Tuandae filamu zinazohamasisha ‘sickle cell’
ELLY MHAGAMA (TUDARCO) NA GRACE KASONDE (SJMC)
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ ameomba wasanii wenzake wawe na utamaduni wa kuandaa filamu zitakazohamasisha Watanzania kuhusu ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).
Monalisa alitoa hamasa hiyo jana, katika uzinduzi wa bonanza kuhusu ugonjwa huo lililofanyika Upanga, jijini Dar es Salaam.
“Mimi binafsi nitakuwa balozi wa kuelimisha wasanii wenzangu kuhusu ugonjwa huo na pia naweza kufanya filamu ya hamasa kuhusu ugonjwa...
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Wasanii, wachezaji Simba kukutana na wenye ‘sickle cell’ leo
NA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)
WASANII wa fani mbalimbali, wachezaji wa soka Ligi Kuu Tanzania Bara na wadau wa afya leo wanaungana katika bonanza la kuadhimisha mwezi wa kuongeza uelewa juu ya ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).
Wasanii watakaokuwepo katika bonanza hilo ni Wema Sepetu, Banana Zorro, Barnaba, Mwana Fa, Vyone Cherry (Monalisa).
Wengine ni mshindi wa tuzo mbili za ZIFF, Honeymoon Mohammed, Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi na kwa upande wa soka watakuwepo baadhi ya...
9 years ago
VijimamboFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Mungu inusuru Tanzania na ugonjwa wa ebola
11 years ago
TheCitizen25 Feb
More cell phones in class please
11 years ago
Mwananchi07 Mar
‘Wanawake 20,000 wana ugonjwa wa fistula Tanzania’
5 years ago
CCM BlogTANZANIA IPO SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa...