‘Wanawake 20,000 wana ugonjwa wa fistula Tanzania’
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa takwimu zinaonyesha kwamba wanawake 20,000 nchini wanaishi na ugonjwa wa Fistula.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s72-c/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WENYE UGONJWA WA FISTULA KUJITOKEZA NA KWENDA KUPATA MATIBABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s1600/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
Wanawake wenye tatizo la ugonjwa wa Fistula wametakiwa kutokuogopa na kukaa kimya bali wajitokeze hadharani kwa kwenda Hospitali kupata matibabu au kuwaambia viongozi wao ili waweze kuwasaidia kwani ugonjwa huo unatibika na matibabu yake ni bure.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa...
10 years ago
Dewji Blog23 May
Fistula yawatesa akinamama 3,000 Tanzania kila mwaka
![Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA), Dk. Natalia Kanem wa (kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga ugonjwa wa Fistula Duniani. Wa pili kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_00361.jpg)
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA), Dk. Natalia Kanem wa (kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga ugonjwa wa Fistula Duniani. Wa pili kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi.
![Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga ugonjwa wa Fistula Duniani. Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA), Dk. Natalia Kanem.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0073.jpg)
Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nt68Q-bUBTU/Uxi3AIsFnPI/AAAAAAAFRk4/4JzYGr_85hU/s72-c/unnamed+(91).jpg)
WARSHA KUKABILIANA NA UGONJWA WA FISTULA ZANZIBAR
11 years ago
TheCitizen10 May
20,000 plus fistula cases treated in a year: Kebwe
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJIMWAGIA MAJI BARIDI KUCHANGISHA FEDHA KUPAMBANA NA UGONJWA WA FISTULA
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Fistula inavyowaathiri wanawake kimwili, kisaikolojia
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r8xVKoC7maU/VFttS5VJh2I/AAAAAAAGvyY/9cSSRM2yvKQ/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Wanawake waliopona Fistula CCBRT waamua kujiajiri
![](http://2.bp.blogspot.com/-r8xVKoC7maU/VFttS5VJh2I/AAAAAAAGvyY/9cSSRM2yvKQ/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ob-htCn22_0/VFttTGjyVfI/AAAAAAAGvyc/V8ngIfJBaCA/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hRYWUaTNOXs/VFttTRVBoWI/AAAAAAAGvyg/7wLWnQ2ELJI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
CCBRT kuwainua kiuchumi wanawake waliopona fistula
ASILIMIA 58 ya wanawake wanaojifungua wanajifungulia nyumbani bila ya kuwa na msaada wowote wa kitabibu, jambo ambalo husababisha kuwa katika hatari ya kuuugua ugonjwa wa fistula kwa kiasi kikubwa. Fistula...