Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fistula inavyowaathiri wanawake kimwili, kisaikolojia

Jumamosi iliyopita ilikuwa ni siku ya maadhimisho ya kuhamasisha mapambano dhidi ya tatizo la fistula duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa

Umoja wa Mataifa unaonya kuwa unyanyasaji na vurugu za kijinsia kwa wakati huu ni jambo la haraka kama matibabu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vipigo huathiri wanawake kisaikolojia

LICHA ya kuwepo kwa sheria mbalimbali zinazowalinda wanawake lakini vitendo vya ukatili kwa wanawake vimekuwa vikiongezeka.Kuongezeka kwa vitendo hivyo kunachangiwa na kukosekana kwa elimu hasa katika baadhi ya maeneo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake 20,000 wana ugonjwa wa fistula Tanzania’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa takwimu zinaonyesha kwamba wanawake 20,000 nchini wanaishi na ugonjwa wa Fistula.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCBRT kuwainua kiuchumi wanawake waliopona fistula

ASILIMIA 58 ya wanawake wanaojifungua wanajifungulia nyumbani bila ya kuwa na msaada wowote wa kitabibu, jambo ambalo husababisha  kuwa katika hatari ya kuuugua ugonjwa wa fistula kwa kiasi kikubwa.  Fistula...

 

10 years ago

Michuzi

Wanawake waliopona Fistula CCBRT waamua kujiajiri

Bi. Kwenge Charles anayeshona( kushoto ) mmoja wa mabinti wanaopatiwa mafunzo ya kujitegemeaa katika kituo cha “Mabinti”akijadiliana jambo na maofisa toka Vodocom Tanzania Gloria Mtui na Veronica Rovegno (kulia) wakati Maafisa hao walipowatembelea kituo hicho kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam , kituo kinafadhiliwa na Vodacom Foundation na kinalenga mabinti waliotibiwa ugonjwa wa Fistula na kupona katika hospitali ya CCRBT. Baadhi ya wanawake wa kituo cha”Mabinti” waliotibiwa...

 

9 years ago

Vijimambo

WANAWAKE WALIOPONA FISTULA CCBRT WAAMUA KUJIAJIR

 Mratibu wa Kituo cha Mabinti centre cha mikocheni jijini Dar es Salaam Bi. Katia Geurts(kulia) akimwelezea jambo Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa  Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia(katikati) na waandishi wa habari jinsi kazi za ushonaji zinazofanywa na baadhi ya wakina mama waliotibiwa na kupona  fistula wakati walipotembelea kituo hicho na kujionea miradi mbalimbalia inayofadhiliwa na Vodacom Foundation,Mabinti hao wanapata elimu ya kazi za mikono mara baada ya matibabu katika...

 

10 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WANAWAKE 2500 KWA MWAKA HUPATWA NA MARADHI YA FISTULA

 Baadhi ya  wakazi wa Kata ya Nyakanazi  Wilaya ya Biharamulo  mkoani Kagera  wakiwa kwenye mkutano wa  kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na Fistula inayowakabili wanawake hapa nchini,Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania kwa kupitia taasisi yake ya Vodacom Foundation  imezinduliwa mwishoni mwa wiki na itafanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wakina mama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa kwa mwaka wastani ya...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE WENYE TATIZO LA FISTULA WATAKIWA KWENDA KUPATA MATIBABU MAPEMA

Na WAMJW-Dodoma.
Wanawake wenye matatizo ya Fistula nchini wametakiwa kuacha tabia ya kujifungia ndani na badala yake wametakiwa kwenda kupata matibabu katika Hospitali zilizoainishwa na Serikali bila gharama yeyote.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika kuadhimisha siku ya Fistula duniani inayoadhimishwa tarehe 23 Mwezi Mei kila Mwaka, yenye kauli mbiu mwaka huu inayosema “Tokomeza...

 

10 years ago

GPL

ZAIDI YA WANAWAKE 2500 KWA MWAKA HUPATWA NA MARADHI YA FISTULA‏

Baadhi ya  wakazi wa Kata ya Nyakanazi  Wilaya ya Biharamulo  mkoani Kagera  wakiwa kwenye mkutano wa  kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na Fistula inayowakabili wanawake hapa nchini,Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania kupitia taasisi yake ya Vodacom Foundation  imezinduliwa mwishoni mwa wiki na itafanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wakina mama kujitokeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani