Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Monalisa: Tuandae filamu zinazohamasisha ‘sickle cell’

monalisaELLY MHAGAMA (TUDARCO) NA GRACE KASONDE (SJMC)

MWIGIZAJI wa filamu nchini, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ ameomba wasanii wenzake wawe na utamaduni wa kuandaa filamu zitakazohamasisha Watanzania kuhusu ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).

Monalisa alitoa hamasa hiyo jana, katika uzinduzi wa bonanza kuhusu ugonjwa huo lililofanyika Upanga, jijini Dar es Salaam.

“Mimi binafsi nitakuwa balozi wa kuelimisha wasanii wenzangu kuhusu ugonjwa huo na pia naweza kufanya filamu ya hamasa kuhusu ugonjwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

My journey with sickle cell disease

At the age of 8, Arafa Salim had already made frequent visits to the hospital. At such a tender age, she didn’t understand why she had to visit the hospital so many times. Out of curiosity, she decided to ask her parents.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.

Tanzania ni nchi ya tano Duniani kwa kuwa na watu wenye ugonjwa wa Sickle Cell.

 

11 years ago

TheCitizen

11,000 babies born with sickle cell

>The Women and Development Foundation (Wama) has called upon health stakeholders to support ongoing efforts to fight against Sickle Cell Disease (SCD) because it has reached an alarming stage. Latest reports show that every year 11,000 babies are born with the disease in the country.

 

9 years ago

Mtanzania

Wasanii, wachezaji Simba kukutana na wenye ‘sickle cell’ leo

WEMA SEPETU009NA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)

WASANII wa fani mbalimbali, wachezaji wa soka Ligi Kuu Tanzania Bara na wadau wa afya leo wanaungana katika bonanza la kuadhimisha mwezi wa kuongeza uelewa juu ya ugonjwa wa upungufu wa damu (sickle cell).

Wasanii watakaokuwepo katika bonanza hilo ni Wema Sepetu, Banana Zorro, Barnaba, Mwana Fa, Vyone Cherry (Monalisa).

Wengine ni mshindi wa tuzo mbili za ZIFF, Honeymoon Mohammed, Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi na kwa upande wa soka watakuwepo baadhi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

UBONGO: Njia zinazohamasisha mtu awe na uwezo mkubwa kiakili

Yapo mambo ambayo ubongo wa binadamu unatakiwa kuyafanya kwa ufanisi ili mtu aonekane kuwa ana akili.

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.

Lorietha Laurence -Maelezo.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo  ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa  kwa kupata kibali cha kuingia sokoni  kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza  katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza  kampuni ya Al-Riyamy Production  ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za  TRA...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.

Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiongea na wahusijka wa Kampuni ya Kajala Entertainment wakati alipofanya nao mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwapa Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akijitetea mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

11 years ago

TheCitizen

More cell phones in class please

I was recently left alone with a friend’s younger sister. After a few uneasy side glances I ventured where I’d thought I was to....cool to venture before.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani