Ninayo mipango ya Jiji inayohusu machinga Mwanza…
Hii ni kwa watu wangu wanaofanya biashara zao katikati ya mji iwe ni pembeni ya barabara au mbele ya maduka 88.1 Mwanza, machinga endelea kuomba mipango ikamilike mtu wangu…nikutoka kwa Meya wa Jiji la Mwanza James Bwire ana sentensi zake anataka zikufikie; – James Bwire ‘Lazima tutafakari kwa kina ni kwa namna gani hawa wananchi […]
The post Ninayo mipango ya Jiji inayohusu machinga Mwanza… appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Nakukutanisha na picha 20 za Jiji la Mwanza…haya nimaeneo ya Capri point…
Leo nisiku ya pili tangu tumeuanza mwaka 2016 najua kuna watu wangu malengo yao nikuwekeza zaidi mwaka huu, labda ungetamani kupata nyumba kali uimiliki mwenyewe mtu wangu maeneo maarufu ya mji uinjoy na familia yako ulichokitafuta mwaka mzima…eneo ninalotaka kukuonyesha nikutokea Rock City Mwanza jiji lenye miamba ya mawe Capri point…naambiwa ndio sehemu yenye thamani […]
The post Nakukutanisha na picha 20 za Jiji la Mwanza…haya nimaeneo ya Capri point… appeared first on...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Machinga wang’ang’ania katikati ya jiji
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo ‘machinga’ wameendelea kufanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam huku wakisema maeneo wanayopewa na serikali si rafiki kwa biashara. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema...
11 years ago
GPLHALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA MWANZA AWAJIA JUU VIONGOZI WA JIJI, ATAKA MACHINGA WAPEWE MAENEO YA BIASHARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6vGV49bZLlU/XnJDCQoueyI/AAAAAAALkRM/goTTODmA4cwkgFSc9dz1_JuXbDwpxgiCQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.24.56%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex
WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Dk Semakafu: Sipendi mijadala inayohusu madaraka pekee
9 years ago
Press30 Dec
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.
Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...
10 years ago
Michuziripoti ya maoni inayohusu mabadiliko ya Tabianchi kuwasilishwa Peru