Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya Sitta, Chenge yavuruga Bunge

HARAKATI za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge kutaka kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, zimeelezwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sitta vs Chenge: Nani mwenyekiti wa kudumu Bunge la Katiba?

Miongoni mwa wanaotajwa kuwa na sifa ya kushika wadhifa huo ni Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Urambo Mashariki, Samwel Sitta.

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti ya Hoseah yavuruga Bunge

Sakata la uchotaji wa Dola za Marekani 200 milioni katika akaunti ya Tegeta Escrow limeendelea kuibuka kwa sura mbalimbali bungeni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta amzidi kete Chenge

WAKATI kitendawili cha nani atakuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba kitatenguliwa Jumapili, Waziri wa  Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amemzidi ujanja Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge anayetajwa kuwania...

 

11 years ago

Mwananchi

Kigwangala: Sitta agombee, Chenge ajitoe

Siku moja baada ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta kutangaza kugombea uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Mbunge wa Nzega, Hamisi Kigwangala amemsifia kuwa ana uwezo mkubwa wa kushinda.

 

11 years ago

TheCitizen

Sitta vs Chenge: Who will map out Tanzania’s political future?

Two veteran politicians have emerged as top contenders for the position of permanent chair of the Katiba Assembly, as delegates calls for rapid deployment of a secret ballot to fill this crucial position.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta aanzisha vita ngumu

BAADA ya Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalum la Katiba kukwama kupata suluhu ya kuwarejesha bungeni wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge hilo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chenge ahofiwa kuliongoza Bunge kibabe

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kuonyesha wasiwasi wao kuwa iwapo Andrew Chenge atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kudumu mijadala ya Katiba itaendeshwa kimizengwe. Wakizungunza kwa nyakati tofauti...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati za Bunge zawagwaya kina Chenge, Ngeleja

Wajumbe wa kamati tatu za Kudumu za Bunge ambazo wenyeviti wake wanatakiwa kuvuliwa nyadhifa zao kutokana na kuhusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, ‘wanasuasua’ kuwaondoa na kuchagua viongozi wengine.

 

10 years ago

Habarileo

Chenge azidi kulibana Bunge, Baraza la Maadili

MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew ChengeMBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amewasilisha ombi akiiomba Mahakama itoe zuio kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Baraza la Maadili la Viongozi kuendelea kushughulikia malalamiko yake ya kudaiwa kupokea fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani