Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigwangala: Sitta agombee, Chenge ajitoe

Siku moja baada ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta kutangaza kugombea uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Mbunge wa Nzega, Hamisi Kigwangala amemsifia kuwa ana uwezo mkubwa wa kushinda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta amzidi kete Chenge

WAKATI kitendawili cha nani atakuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba kitatenguliwa Jumapili, Waziri wa  Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amemzidi ujanja Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge anayetajwa kuwania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita ya Sitta, Chenge yavuruga Bunge

HARAKATI za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge kutaka kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, zimeelezwa...

 

11 years ago

TheCitizen

Sitta vs Chenge: Who will map out Tanzania’s political future?

Two veteran politicians have emerged as top contenders for the position of permanent chair of the Katiba Assembly, as delegates calls for rapid deployment of a secret ballot to fill this crucial position.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta vs Chenge: Nani mwenyekiti wa kudumu Bunge la Katiba?

Miongoni mwa wanaotajwa kuwa na sifa ya kushika wadhifa huo ni Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Urambo Mashariki, Samwel Sitta.

 

9 years ago

Vijimambo

SABABU ZILIZOPELEKEA KINGUNGE AJITOE CCM

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.

Alitangaza kuachana na siasa za chama tawala jana nyumbani kwake Kijitonyama, jijini Dar es Salaam, akidai hatua yake inatokana na CCM kutofuata na kuheshimu Katiba. “Kuanzia leo,(jana) naachana na CCM kwa sababu siwezi kuhimili chama kinachoendeshwa bila kuheshimu Katiba, Katiba...

 

10 years ago

GPL

CHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?

Makala: Ojuku Abraham
KAMA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere angekuwa bado anatawala nchi hii, ni watu wachache sana wangeweza kulijua jina la Andrew Chenge, yule mwanasheria mkuu wa zamani wa serikali, aliyekaa katika ofisi hiyo kubwa na yenye heshima, kuanzia mwaka 1993 hadi 2005. Lakini katika nchi ambayo inaendeshwa kwa hila na dili, jina hili linajipatia umaarufu na kuenziwa, bila kujali ni kwa kiasi gani, Watanzania zaidi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yakubali Nkurunziza agombee

Mahakama ya katiba ya Burundi imempa idhini rais Pierre Nkurunziza nafasi ya kuwania muhula wa tatu

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana wafurika kwa Lowassa kumtaka agombee urais

WanafunziNa Fredy Azzah, Dodoma
VIJANA zaidi ya 300 ambao ni wawakilishi wa wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma, waendesha bodaboda na wamachinga, wamefika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumtaka agombee urais.
Vijana hao walifika nyumbani kwa Lowassa eneo la Area C saa 5.00 wakitembea kwa miguu wakiongozwa na bodaboda.
Baadhi yao walikuwa wamebeba mabango yaliyokuwa na ujumbe tofauti ukiwamo“4U Movement, wanavyuo, Chuo Kikuu Dodoma, Shule za Kata ni vielezo vya uchapakazi wako,...

 

9 years ago

Michuzi

WAZEE TAFF WAMWOMBA WAKIFAMBA AGOMBEE TENA NAFASI YA URAS


Msemaji wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Ahmed Olotu (mzee Chilo) akisoma waraka wa kupinga uamuzi wa Rais wa Shirikisho hilo Simon Mwakifwamba kwa kutogombea tena nafasi ya Urais wa Shirikisho hilo katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO). Kushoto ni Mzee Ramadhani Ditopile.  Mzee wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Hamisi Kagaye (kushoto) akichangia mada wakati wa kupinga uamuzi wa Rais wa Shirikisho hilo Bwana Simon Mwakifwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani