Kigwangala: Sitta agombee, Chenge ajitoe
Siku moja baada ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta kutangaza kugombea uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Mbunge wa Nzega, Hamisi Kigwangala amemsifia kuwa ana uwezo mkubwa wa kushinda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Sitta amzidi kete Chenge
WAKATI kitendawili cha nani atakuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba kitatenguliwa Jumapili, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amemzidi ujanja Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge anayetajwa kuwania...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Vita ya Sitta, Chenge yavuruga Bunge
HARAKATI za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge kutaka kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, zimeelezwa...
11 years ago
TheCitizen19 Feb
Sitta vs Chenge: Who will map out Tanzania’s political future?
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Sitta vs Chenge: Nani mwenyekiti wa kudumu Bunge la Katiba?
9 years ago
Vijimambo05 Oct
SABABU ZILIZOPELEKEA KINGUNGE AJITOE CCM
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kingunge.jpg)
Alitangaza kuachana na siasa za chama tawala jana nyumbani kwake Kijitonyama, jijini Dar es Salaam, akidai hatua yake inatokana na CCM kutofuata na kuheshimu Katiba. “Kuanzia leo,(jana) naachana na CCM kwa sababu siwezi kuhimili chama kinachoendeshwa bila kuheshimu Katiba, Katiba...
10 years ago
GPLCHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
10 years ago
BBCSwahili07 May
Mahakama yakubali Nkurunziza agombee
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Vijana wafurika kwa Lowassa kumtaka agombee urais
Na Fredy Azzah, Dodoma
VIJANA zaidi ya 300 ambao ni wawakilishi wa wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma, waendesha bodaboda na wamachinga, wamefika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumtaka agombee urais.
Vijana hao walifika nyumbani kwa Lowassa eneo la Area C saa 5.00 wakitembea kwa miguu wakiongozwa na bodaboda.
Baadhi yao walikuwa wamebeba mabango yaliyokuwa na ujumbe tofauti ukiwamo“4U Movement, wanavyuo, Chuo Kikuu Dodoma, Shule za Kata ni vielezo vya uchapakazi wako,...
9 years ago
MichuziWAZEE TAFF WAMWOMBA WAKIFAMBA AGOMBEE TENA NAFASI YA URAS
Msemaji wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Ahmed Olotu (mzee Chilo) akisoma waraka wa kupinga uamuzi wa Rais wa Shirikisho hilo Simon Mwakifwamba kwa kutogombea tena nafasi ya Urais wa Shirikisho hilo katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO). Kushoto ni Mzee Ramadhani Ditopile.