Vijana wafurika kwa Lowassa kumtaka agombee urais
Na Fredy Azzah, Dodoma
VIJANA zaidi ya 300 ambao ni wawakilishi wa wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma, waendesha bodaboda na wamachinga, wamefika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumtaka agombee urais.
Vijana hao walifika nyumbani kwa Lowassa eneo la Area C saa 5.00 wakitembea kwa miguu wakiongozwa na bodaboda.
Baadhi yao walikuwa wamebeba mabango yaliyokuwa na ujumbe tofauti ukiwamo“4U Movement, wanavyuo, Chuo Kikuu Dodoma, Shule za Kata ni vielezo vya uchapakazi wako,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Katibu UWT Serengeti ‘ajilipua’ asema ni bora CCM ikamuacha Lowassa agombee Urais
Diwani wa kata ya Ikoma wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Sebastian Sabasaba Banagi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jana juu ya ujio wao kwa Mh.Lowassa, kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hivyo kitendo cha kuzuiwa wananchi kueleza hisia zao sio jambo la kidemokrasia bali linakandamiza uhuru wa kusema wanachokiamini huku akisisitiza kuwa Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa ni chaguo la walio wengi na hawatasita kumtafuta popote kumueleza hisia...
10 years ago
MichuziVIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GWZ9cZO4dTg/VXlAZEDlTMI/AAAAAAADrFo/nbEIL3zR54c/s72-c/1.jpg)
NJOMBE NA IRINGA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MEMBE ILI AGOMBEE URAIS WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GWZ9cZO4dTg/VXlAZEDlTMI/AAAAAAADrFo/nbEIL3zR54c/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JSxQWg8jxz8/VXlAan8L_6I/AAAAAAADrGI/6Yh_m_h2dD0/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X7SUs3mCSzU/VXkoHgUo16I/AAAAAAABhfc/DrhTbFCNXts/s72-c/1.jpg)
WANANJOMBE NA IRINGA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MEMBE ILI AGOMBEE URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7SUs3mCSzU/VXkoHgUo16I/AAAAAAABhfc/DrhTbFCNXts/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWIJW_s8LWs/VXkokGPx2UI/AAAAAAABhfs/GecG_wQVNgE/s640/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5BEy0lDsPU/VXkoUFD6jlI/AAAAAAABhfk/A8YfeefgQos/s640/2A.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FSVmZMRaklo/VXkol1r8KII/AAAAAAABhf8/oQ-xMPd8vOU/s640/2B.jpg)
9 years ago
StarTV03 Sep
Taarifa zaidi ya Vijana waandamana Dar kumtaka Dk. Slaa
Kikosi cha Kutuliza Ghasia FFU kimelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya baadhi ya vijana wanaodaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA waliofanya maandamano yasiyo rasmi maeneo ya Biafla na Kinondoni jijini Dar es Salaam wakiimba nyimbo za kumtaka Dokta Wilbroad Slaa kurudi katika Chama hicho.
Vijana hao wanadai kuwa wanaunga mkono hotuba ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa aliyoitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wake na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutGYkhT2J8BLrLit3nY6CeA*3qF7YymMU*O8EOe*-W4e3C963ttLnjl9bPiFLfDIp1F50iYYr8VXMaP4J1NHrsd/lum.jpeg?width=300)
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mRmu8UhhuJ8/VeYEpBvELXI/AAAAAAAAYho/UoIoEcsTZgY/s72-c/OTH_4312.jpg)
LOWASSA AENDELEA "KUTISHA" MAELFU WAFURIKA KUMSIKILIZA HUKO RUVUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mRmu8UhhuJ8/VeYEpBvELXI/AAAAAAAAYho/UoIoEcsTZgY/s640/OTH_4312.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s72-c/Lowassa_MZA2.jpg)
MAELFU WAFURIKA MWANZA KUMUONA LOWASSA, YUKO ZIARANI KUOMBA WADHAMINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s640/Lowassa_MZA2.jpg)
Madereva texi, waendesha bodaboda, na...
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Mkutano wa Kihistoria tena Mbeya, Edward Lowassa afunika umati wafurika!
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akimnadi kwa wananchi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu”, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini Mbeya leo Oktoba 18, 2015.
Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Mbeya mjini katika viwanja vya Rwanda-nzovwe jijini Mbeya leo Jumapili 18/10/2015,akiomba kura pamoja na kunadi sera...