Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taarifa zaidi ya Vijana waandamana Dar kumtaka Dk. Slaa

 

Kikosi cha Kutuliza Ghasia FFU kimelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya baadhi ya vijana wanaodaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA waliofanya maandamano yasiyo rasmi maeneo ya Biafla na Kinondoni jijini Dar es Salaam wakiimba nyimbo za kumtaka Dokta Wilbroad Slaa kurudi katika Chama hicho.

Vijana hao wanadai kuwa wanaunga mkono hotuba ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa aliyoitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wake na...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Vijana wafurika kwa Lowassa kumtaka agombee urais

WanafunziNa Fredy Azzah, Dodoma
VIJANA zaidi ya 300 ambao ni wawakilishi wa wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma, waendesha bodaboda na wamachinga, wamefika nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumtaka agombee urais.
Vijana hao walifika nyumbani kwa Lowassa eneo la Area C saa 5.00 wakitembea kwa miguu wakiongozwa na bodaboda.
Baadhi yao walikuwa wamebeba mabango yaliyokuwa na ujumbe tofauti ukiwamo“4U Movement, wanavyuo, Chuo Kikuu Dodoma, Shule za Kata ni vielezo vya uchapakazi wako,...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM ( UVCCM) MAKAO MAKUU DAR ES SAALAM

TAARIFA  YA UMOJA WA VIJANA WA CCM  ( UVCCM) MAKAO MAKUU  DAR ES  SAALAM  KWA VYOMBO VYA HABARI JUMAPILI 30 AUGUST 2015. CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Agosti 29 kimezindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani Jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo viongozi kadhaa wa Chama  hicho wakiwemo na waliokuwa Mawaziri waandamizi katika Setikali ya CCM, Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Ufisadi, Edward Lowassa pamoja na aliyekuwa Waziri wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya milioni waandamana Ufaransa

Maandamano ya mshikamano kupinga mauaji ya kigaidi mjini Paris yalifuatiwa na mengine nchini na miji kadha duniani

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana

Pg 1

 

 

 

 

 

 

 

Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi zaidi ya 50 hoteli ya kitalii Ngurdoto waandamana kwa DC Arumeru wakidai malipo yao

Wafanyakazi zaidi ya 50 wa hoteli ya Kitalii ya Ngurdoto iliyopo nje kidogo ya jiji la Arusha ,wameandamana ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro wakimlalamkia mwajiri wao Joan Mrema kwa kushindwa kuwalipa mishahara yao ya miezi mitatu mfururizo.
Wakiongea mbele ya Mkuu huyo wa wilaya wamedai kuwa pamoja na kutolipwa mishahara yao ,wanadai makato ya mfuko wa kijamii wa nssf yamekuwa hayapelekwi na kupatà usumbufu mkubwa wanapoacha ama kuachishwa kazi .
Madai mengine ni wafanyakazi wa...

 

10 years ago

Michuzi

WATU ZAIDI YA 700 WAANDAMANA KWENDA KWA LOWASA KUMSHAWISHI ATANGAZE NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015


 makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwawanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la monduli  hii leo

Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro  (TLB), Protas Soka Akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la monduli  Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi waziri mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha yenye fedha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watu zaidi ya 700 waandamana kwenda kwa Lowassa kumshawishi atangaze nia ya kugombea Urais 2015

SAM_4290

Makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la Monduli  hii leo.

SAM_4318

Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la Monduli.

SAM_4337

Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi Waziri Mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha...

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA JIJINI DAR

Walemavu wakiwa wamekaa barabarani wakati wa maandamano hayo. Wananchi wakitaharuki kufuatia maandamano ya walemavu kuelekea kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hali ilikuwa tete.…

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR

 Vijana kutoka vyuo mbalimbali wakiwa katika semina ya jinsi ya kutafuta ajira kwenye taasisi mbalimbali wakati wa Maonesho ya Ajira kwa Vijana, kwenye Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wakijaza kwenye fomu za kutafuta ajira katika Banda la Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakati wa Maonesho ya vijana wa vyuo ya kupata fursa ya ajira katika taasisi mbalimbali  (Careers Fair 2014) katika Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani