Zaidi ya milioni waandamana Ufaransa
Maandamano ya mshikamano kupinga mauaji ya kigaidi mjini Paris yalifuatiwa na mengine nchini na miji kadha duniani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Sep
Taarifa zaidi ya Vijana waandamana Dar kumtaka Dk. Slaa
Kikosi cha Kutuliza Ghasia FFU kimelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya baadhi ya vijana wanaodaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA waliofanya maandamano yasiyo rasmi maeneo ya Biafla na Kinondoni jijini Dar es Salaam wakiimba nyimbo za kumtaka Dokta Wilbroad Slaa kurudi katika Chama hicho.
Vijana hao wanadai kuwa wanaunga mkono hotuba ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa aliyoitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wake na...
11 years ago
Michuzi25 May
MH. MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI 80 JIMBONI KWAKE
![DSC_0025](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
![DSC_0133](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0133.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 May
Mh. Mohammed G.Dewji (MO) amwaga msaada wa zaidi ya shilingi Milioni 127 kwenye Taasisi za Dini zaidi 80 Jimboni kwake
Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.
Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.
Mbunge...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE
9 years ago
MichuziZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wafanyakazi zaidi ya 50 hoteli ya kitalii Ngurdoto waandamana kwa DC Arumeru wakidai malipo yao
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wakiongea mbele ya Mkuu huyo wa wilaya wamedai kuwa pamoja na kutolipwa mishahara yao ,wanadai makato ya mfuko wa kijamii wa nssf yamekuwa hayapelekwi na kupatà usumbufu mkubwa wanapoacha ama kuachishwa kazi .
Madai mengine ni wafanyakazi wa...
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Ufaransa yaahidi misaada zaidi kwa Tanzania
AFD ni Taasisi ya kifedha ya Ufaransa na ndiye mtekelezaji Mkuu wa misaada ya kimaendeleo ya nchi hiyo kwa nchi zinazoendelea na zile zenye ngome ya Ufaransa zilizopo katika nchi nyingine duniani kote.
Taasisi hii inatoa fedha kwa miradi ya maendeleo katika zaidi ya nchi 90 zikiwemo nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mwandishi wa makala hii alifanya mahojiano na Mkurugenzi wa taasisi ya AFD kwa nchi za Afrika Mashariki, Yves Boudot kama ifuatavyo.
Raia Tanzania: Kwa faida ya...
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Ufaransa yalipua vituo zaidi vya IS Syria
10 years ago
MichuziWATU ZAIDI YA 700 WAANDAMANA KWENDA KWA LOWASA KUMSHAWISHI ATANGAZE NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka Akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la monduli