Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZEE TAFF WAMWOMBA WAKIFAMBA AGOMBEE TENA NAFASI YA URAS


Msemaji wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Ahmed Olotu (mzee Chilo) akisoma waraka wa kupinga uamuzi wa Rais wa Shirikisho hilo Simon Mwakifwamba kwa kutogombea tena nafasi ya Urais wa Shirikisho hilo katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO). Kushoto ni Mzee Ramadhani Ditopile.  Mzee wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Hamisi Kagaye (kushoto) akichangia mada wakati wa kupinga uamuzi wa Rais wa Shirikisho hilo Bwana Simon Mwakifwamba...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE JITOKEZENI KUWANIA NAFASI YA URAS- TGNP

Mwanaharakati  wa TGNP  kutoa kijiji  cha   Ifiga kata ya Ijombe Mbeya  Bi . Flora Mathias Mlowezi akifafanua  jambo  wakati  wa mafunzo ya  wanahabari juu ya wajibu  wa  wanawake na  vijana kujitokeza katika kuwania nafasi za  uongoziwashiriki  wa  mafunzo ya  TGNP kwa  wanahabari wa mikoa ya nyanda za juu kusini wakisikiliza kwa makini mada mbali mbali zilizokuwa  zikitolewa katika mafunzo  hayo.

BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI...

 

9 years ago

Michuzi

WAZEE WAMWOMBA RAIS DKT. MAGUFURI AWAKUMBUKE

Wazee waishio kata ya Kimandolu wilaya ya Arusha mkoani Arusha wamemuomba Rais John Pombe Magufuli awakumbuke wazee kwa kuhakikisha kuwa wanapata huduma bora za afya ,lishe bora na kupata mafao ya uzeeni kutokana na mchango wao katika ujenzi wa taifa kupitia sekta binafsi na za serikali tangu nchi ipate uhuru.
Wazee hao ambao wanaishi katika hali ngumu za kimaisha na wengine kutokua na uhakika wa milo mitatu huku wakikabiliwa na jukumu la kulea familia zao pamoja na wajukuu licha ya uzee...

 

10 years ago

Bongo5

Madee amchana Lundenga kwenye ngoma mpya , ‘hao Ma-miss wazee kama vipi mwaka kesho namleta bibi yangu agombee’

Wimbo mpya wa Madee ‘Vuvula’ haukuishia kumchana Chidi Benz peke yake(Ingia hapa) , upo mstari mwingine ambao unamlenga Mkurugenzi wa LINO International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga Mstari huo unasema: “Hey Anko Lunde, hao Mamiss wazee kama vipi mwaka kesho namleta bibi yangu agombee.” “Kuna tatizo lilitokea […]

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna asema akipata nafasi ya kuja tena Afrika itakuwa ni kwaajili ya show ya bure!

Katika mahojiano na jarida la The New York Style, mwimbaji wa Barbados, Rihanna amesema kuwa endapo atapata nafasi ya kuja tena Afrika basi huenda ikawa ni kwaajili ya kufanya show ya bure. Bahati mbaya ni kuwa hii haiwahusu mashabiki wa Afrika Mashariki kwasababu staa huyo alikuwa akizungumzia Afrika Magharibi. “You know what? If I ever […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtangaza nia ubunge Ludewa aangukia pua nafasi ya NEC , asema hataki tena kugombea

Aliyeshindwa ujumbe wa NEC Ludewa Injinia Zephania Chaula  akiangana na mbunge  Deo  Filikunjombe baada ya  kushindwa katika nafasi  hiyo, Chaula alikuwa ni mmoja wa wana CCM waliokuwa  wakitaka kuwania ubunge jimbo la Ludewa Chaula akiagana na mshindi Mzee Nkwera. 

Mkuu wa wilaya ya  Ludewa, Antonia Choya akimkabidhi  hati ya shukrani mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe (kushoto).

Mjumbe wa mkutano huo Bw. Choya akipiga kura.

Wajumbe wakishiriki kupiga kura.

 

Wajumbe ...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NA PARTY YA UHURU WASHINGTON DC...KAMA HUJANUNUA TICKET TAFADHALI WAHI NAFASI ZIKIJAA TU BASI TENA.

    
TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU 
$100 (INCLUSIVE)3 COURSE  DINNERBOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLELIVE ENTERTAINMENTCELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGERE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER FREE PARKINGCASH BARSPONSORSHIP  LEVELS STILL AVAILABLE TICKET ZINAPATIKANASAFARI RESTAURANT4306 GEORGIA AVENUE,NWWASHINGTON,DC,20011ORONLINEWWW.DIAMONDUSATOUR.COMORCALL   301-661-6207 *DMK GLOBAL   240-603-7353*LATIFA MZESE     240-764-9970*JULIA NYERERE        202-830-8970*ATHUMANI...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbagala wamwomba Kikwete

Zaidi ya waathirika 1,300 wa mabomu yaliyolipuka Mbagala na kusababisha vifo na uharibifu wa mali, wamemwomba Rais Jakaya Kikwete kuwasaidia ili wapate fidia ya mali zao kama alivyokuwa ameahidi alipowatembelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yakubali Nkurunziza agombee

Mahakama ya katiba ya Burundi imempa idhini rais Pierre Nkurunziza nafasi ya kuwania muhula wa tatu

 

11 years ago

Mwananchi

Kigwangala: Sitta agombee, Chenge ajitoe

Siku moja baada ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta kutangaza kugombea uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Mbunge wa Nzega, Hamisi Kigwangala amemsifia kuwa ana uwezo mkubwa wa kushinda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani