Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta aanzisha vita ngumu

BAADA ya Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalum la Katiba kukwama kupata suluhu ya kuwarejesha bungeni wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge hilo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Msama aungwe mkono katika vita hii ngumu

TASNIA ya sanaa kwa ujumla wake, si burudani tu bali ni ajira kwa wenye vipaji wanayoweza kuitumia katika kuendesha maisha yao kama ilivyo kwingineko duniani. Lakini, kwa hapa nchini bado...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita ya Sitta, Chenge yavuruga Bunge

HARAKATI za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge kutaka kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, zimeelezwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bomu Jipya: Hii ni Vita ya Utamaduni, Ni Vita ya Kutawaliwa Kiakili

AWALI kuna wale waliolalamikia kuhusu maadili hasa pale filamu za kitanzania zilipozuiliwa na watayarishaji wetu wakashindwa kujenga hoja kwa kuuliza kwanini sinema zao zikitamka tu neno la Shoga wanaambiwa watoe lakini za kutoka nje Mashoga wanaonekana, hapa kuna maswali mengi sana.

1. Kwanini balozi wa Korea kwa niaba ya nchi yake alikuwa anatoa tamthilia za kikorea zionyeshwe ITV bure?
2. Kwanini serikali ya China inaingia gharama za kutafsiri tamthilia zao kwa kiswahili na kuzitoa...

 

10 years ago

Vijimambo

Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi

MAKONGORO: Tupimwe afya kwani tunataka kwenda kuchezea Real Madrid au Manchester United? 
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mfuasi wa Zitto aanzisha chama

 Chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kimeanzishwa na kupewa usajili wa muda huku kikitamba kuwa mbadala wa vyama vyote vilivyopo sasa kwa maelezo kuwa vimekosa demokrasia ya kweli.

 

9 years ago

GPL

RIHANNA AANZISHA KAMPUNI YA UREMBO (FR8ME)

Muimbaji mkubwa kutoka nchini marekani, Rihanna Robin Fenty ‘Rihanna. DIVA anayekimbiza duniani kutokana na uwezo wake mkubwa wa uimbaji, Rihanna Robin Fenty ‘Rihanna’ ameanzisha kampuni inayoshughulika na masuala ya urembo ambayo itamuingizia kiasi kikubwa cha fedha kutokana na umaarufu wake. Kwa mujibu wa Mtandao wa Hollywood Reporter wa Marekani, Rihanna ameanzisha kampuni hiyo inayotambulika kama Fr8me akishirikiana na...

 

9 years ago

Bongo5

Quick Rocka aanzisha kundi jipya la muziki ‘One G’

_K0A2053

Quick Rocka ameanzisha kundi jipya liitwalo ‘One G.’

_K0A2053

Amesema kundi hilo litakuwa chini ya label yake, Switch.

“Kubwa zaidi 2016 ni ujio wa kundi la wasanii wangu One G kupitia record label yangu Switch na producer wangu Luffa,” aliiambia Bongo5.

“Kwahiyo mwaka unaokuja tutaanza nao kwa sababu tayari wana ngoma yao mpya pamoja na video. Lengo letu ni kupeleka muziki mbele na kuleta ushindani mpya kwenye muziki na wasanii wachanga watoke,” alisema.

Hata hivyo Quick amesema ujio wa kundi hilo...

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna aanzisha kampuni ya urembo na mitindo, Fr8me

rihanna

Rihanna anazidi kuimarisha biashara zake kwa kuanzisha kampuni ya masuala ya urembo na mitindo iitwayo Fr8me.

rihanna

Kwa mujibu wa mtandao wa The Hollywood Reporter, kampuni hiyo ya Los Angeles itawasaidia wasanii kupata matangazo, upigaji picha wa majarida na kujiandaa na matukio ya red carpet.

Watu watakaosimamia kampuni hiyo ni pamoja na makeup artist wake, Mylah Morales, stylist Jason Bolden anayefanya kazi na Taraji P. Henson, hairstylist Patricia Morales anayefanya kazi na Fergie na Marcia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani