Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Keko aitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende, adai imekwamisha mambo yake

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper wa Uganda, Keko anaitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende zake.

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper huyo Ijumaa hii ametoa malalamiko yake kupitia Twitter kwa madai kuwa hajawahi kuwa na furaha kwenye mkataba huo wa miaka minne sasa.

Amedai kuwa Sony wamekuwa wazito kuachia nyimbo zake na hivyo kuwaangusha mashabiki wake.

“Nadhani ni bora kwa mashabiki niondoke Sony,” ameandika.

Hivi ndivyo alivyoandika:

I want @SonyMusicAfrica to release me from that contract because I’ve clearly been unhappy close...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mazuu atambia mafanikio ya lebo yake KTMA 2014

MTAYARISHAJI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mzuri Ally ‘Mazuu,’ ametambia umahiri, umakini na ubunifu aliofanya katika vibao vitatu vinavyowania Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), akisema ndizo nyimbo...

 

9 years ago

Bongo5

Sheddy Clever aja na lebo yake, ‘Burn Records Tanzania’

sheddy na Ne-yo

Mtayarishaji wa wimbo ulioshinda tuzo kibao, Number One wa Diamond Platnumz, Sheddy Clever, ameanzisha lebo yake ya muziki.

sheddy

Kupitia ukurasa wa Instagram, Sheddy Clever ameandika:

Kuna bora kipaji na Kipaji bora. Sasa hawa ni zaidi ya kipaji bora nina imani watafika pale wanapopataka na mimi nitawa support kwa nguvu zangu zote.Naomba itambulike hawa ndio wasanii wangu walio chini ya studio yangu Burnrecordz . Lakini hawawezi fanikiwa bila ya wewe shabiki na mpenzi wa bongofleva kuwapokea na...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba aanzisha label yake ya muziki, ‘High Table’

Muimbaji na mtunzi wa nyimbo, Barnaba, ameanzisha label ya kusimamia wasanii wa muziki iitwayo ‘High Table’ na tayari ameshawasaini wasanii wanne. Barnaba ameiambia E-News ya EATV kuwa wasanii ambao tayari wamesainishwa ni Ice Boy, Sia, Asia na Mula Fleva. “Kuna Ice Boy yule anayerap alikuwa kwa Young Killer zamani, nimeshamchukua. Watu watashangaa kwanini Barnaba amechukua […]

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’

Barnaba ameanzisha bendi yake mwenyewe. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bendi yake ilikuwepo lakini sasa itakuwa na vifaa vya kisasa. “Nina bendi toka muda mrefu ila sasa hivi ndo naifanya official. Naanza kunua vifaa vyangu vya muziki au kama akitokea mtu akaninunulia sio mbaya pi,” amesema. “Bendi itakuwa ni bendi tofauti zingine zote unazozijua. Mimi […]

 

9 years ago

Bongo5

Man Walter kuanzisha lebo ya muziki

Mtayarishaji wa muziki na mshindi wa tuzo za KTMA, Man Walter, amesema anajipanga kufungua rasmi lebo ya muziki itakayosimamia wasanii. Man Walter ameiambia Bongo5 kuwa lebo hiyo itakuwa na wasanii wasiozidi watano ili aweze kuwamudu. “Nitakuwa na lebo kwa sababu kuna watu nafanya nao kama lebo lakini haikuwa rasmi. Lakini sasa hivi nataka iwe very […]

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West amteua Pusha T kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music

kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full

Rapper Pusha T ameteuliwa kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music.

kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full

Uteuzi huo umefanywa na mwanzilishi wa lebo hiyo, Kanye West.

Kwa mujibu wa Billboard, uamuzi huo ulifanyika miezi minne iliyopita baada ya kupigiwa simu na Yeeyz.

“I was flying home and I had just got into my car at the airport,” alisema Pusha. “‘Ye had called me and he was like, ‘Tell me something. What do you think about being the president of G.O.O.D. Music?’ And I was like, ‘Well, what are the things that you’re looking...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: CPwaa — Kata Kiu

CPwaa anakuletea single yake mpya “Kata Kiu” imetaarishwa na Producer mkongwe P Funk Majani ndani ya Bongo Records

 

9 years ago

Bongo5

Sijaacha, na sitoacha kufanya muziki – Cpwaa

Cpwaa na meneja wa T.I , Joson Gete

Rapper Cpwaa amesema anashangazwa na watu wanaozusha kwamba ameacha muziki wakati sio kweli.

Cpwaa na meneja wa T.I , Joson Gete

Akizungumza na Bongo5, Cpwaa amewataka mashabiki wake kupuuza uvumi huo.

“Mimi ninachowaambia mashabiki wangu, nipo na bado ndio kama naanza,” amesema. “Kuna watu wanavumisha nimeacha muziki, sijui hizo taarifa wamezipatawa wapi? Nataka mashabiki wangu wajue bado nipo na kuna kazi nyingi zitakuja na mtapata ile ladha ya muziki wa Cpwaa wanaemjua,” ameongeza.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani