Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man Walter kuanzisha lebo ya muziki

Mtayarishaji wa muziki na mshindi wa tuzo za KTMA, Man Walter, amesema anajipanga kufungua rasmi lebo ya muziki itakayosimamia wasanii. Man Walter ameiambia Bongo5 kuwa lebo hiyo itakuwa na wasanii wasiozidi watano ili aweze kuwamudu. “Nitakuwa na lebo kwa sababu kuna watu nafanya nao kama lebo lakini haikuwa rasmi. Lakini sasa hivi nataka iwe very […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Walter Chilambo adai hajawahi kutumia milioni 50 za BSS kwenye muziki wake

Mshindi wa shindano la Bongo Star Search 2013, Walter Chilambo amesema hajawahi kutumia pesa aliyoshinda kwenye Shindano hilo kwa shughuli zake za muziki. “Milioni 50 nilizozipata nimezitumia kwa mambo mengine kabisa kama kununua gari na mengine ya kimaisha zaidi ya muziki, Chilambo aliiambia tovuti ya Times FM. Chilambo amesema kazi zake za muziki zilikuwa zikisimamiwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Man Walter apandisha gharama za kutayarisha nyimbo

Mtayarishaji wa muziki nchini, Man Walter ametangaza kupandisha gharama ya kutayarisha nyimbo katika studio zake za Combination Sounds. Producer huyo amesema atakuwa akitoza shilingi milioni moja japo bei hiyo itaongezeka kulingana na mahitaji ya wimbo husika. “Wimbo wa Ali Kiba huwezi ukaufananisha na wimbo wa Ommy Dimpoz labda ‘Baadaye’, ni nyimbo ambazo ukizisikiliza utasikia vionjo […]

 

9 years ago

Bongo5

Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri

Mtayarishaji wa muziki, Man Walter amesema wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri kutokana na kushindwa kuendana na mfumo wa muziki wa sasa. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Man Walter alisema wasanii hao wanahitaji ushauri wa ziada ili wafanye vizuri. “Unajua muziki umebadilika sana na wengi wanaoathirika na mfumo huu ni wasanii wakongwe, ndio maana wengi wanashindwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Mr Blue kuanzisha ‘Micharazo Foundation’ kusaidia kukuza vipaji vya muziki

Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaji vya wasanii wachanga. Blue ameiambia Bongo5 kuwa kama yeye alisaidiwa na watu mpaka akafikia alipo sasa, yeye pia ana wajibu wa kufanya hivyo kwa watu wengine. “Dhumuni kabisa ya hili kundi ni kusaidia,” amesema Kabayser. […]

 

10 years ago

CloudsFM

TUNDA MAN ABADILISHA MUZIKI WAKE KWA KUPIGA BAND

Msanii wa Bongo Fleva,Tunda Man ameamua kuubadilisha muziki wake na kufungua bendi yake na kutumbuiza live kwenye majukwaa ili kuwateka zaidi mashabiki wake.Tunda Man amekuwa akipiga sana project zake binafsi hali ambayo baadhi ya mashabiki wa kundi la Tip Top kuhisi labda kajitoa kwenye kundi hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mazuu atambia mafanikio ya lebo yake KTMA 2014

MTAYARISHAJI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mzuri Ally ‘Mazuu,’ ametambia umahiri, umakini na ubunifu aliofanya katika vibao vitatu vinavyowania Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), akisema ndizo nyimbo...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West amteua Pusha T kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music

kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full

Rapper Pusha T ameteuliwa kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music.

kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full

Uteuzi huo umefanywa na mwanzilishi wa lebo hiyo, Kanye West.

Kwa mujibu wa Billboard, uamuzi huo ulifanyika miezi minne iliyopita baada ya kupigiwa simu na Yeeyz.

“I was flying home and I had just got into my car at the airport,” alisema Pusha. “‘Ye had called me and he was like, ‘Tell me something. What do you think about being the president of G.O.O.D. Music?’ And I was like, ‘Well, what are the things that you’re looking...

 

9 years ago

Bongo5

Sheddy Clever aja na lebo yake, ‘Burn Records Tanzania’

sheddy na Ne-yo

Mtayarishaji wa wimbo ulioshinda tuzo kibao, Number One wa Diamond Platnumz, Sheddy Clever, ameanzisha lebo yake ya muziki.

sheddy

Kupitia ukurasa wa Instagram, Sheddy Clever ameandika:

Kuna bora kipaji na Kipaji bora. Sasa hawa ni zaidi ya kipaji bora nina imani watafika pale wanapopataka na mimi nitawa support kwa nguvu zangu zote.Naomba itambulike hawa ndio wasanii wangu walio chini ya studio yangu Burnrecordz . Lakini hawawezi fanikiwa bila ya wewe shabiki na mpenzi wa bongofleva kuwapokea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani