Man Walter kuanzisha lebo ya muziki
Mtayarishaji wa muziki na mshindi wa tuzo za KTMA, Man Walter, amesema anajipanga kufungua rasmi lebo ya muziki itakayosimamia wasanii. Man Walter ameiambia Bongo5 kuwa lebo hiyo itakuwa na wasanii wasiozidi watano ili aweze kuwamudu. “Nitakuwa na lebo kwa sababu kuna watu nafanya nao kama lebo lakini haikuwa rasmi. Lakini sasa hivi nataka iwe very […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Sep
Walter Chilambo adai hajawahi kutumia milioni 50 za BSS kwenye muziki wake
10 years ago
Bongo506 Jan
Man Walter apandisha gharama za kutayarisha nyimbo
9 years ago
Bongo526 Oct
Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri
10 years ago
Bongo515 Sep
Mr Blue kuanzisha ‘Micharazo Foundation’ kusaidia kukuza vipaji vya muziki
10 years ago
CloudsFM14 Jan
TUNDA MAN ABADILISHA MUZIKI WAKE KWA KUPIGA BAND
Msanii wa Bongo Fleva,Tunda Man ameamua kuubadilisha muziki wake na kufungua bendi yake na kutumbuiza live kwenye majukwaa ili kuwateka zaidi mashabiki wake.
Tunda Man amekuwa akipiga sana project zake binafsi hali ambayo baadhi ya mashabiki wa kundi la Tip Top kuhisi labda kajitoa kwenye kundi hilo.
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mazuu atambia mafanikio ya lebo yake KTMA 2014
MTAYARISHAJI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mzuri Ally ‘Mazuu,’ ametambia umahiri, umakini na ubunifu aliofanya katika vibao vitatu vinavyowania Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), akisema ndizo nyimbo...
9 years ago
Bongo510 Nov
Kanye West amteua Pusha T kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music
![kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full-300x194.jpg)
Rapper Pusha T ameteuliwa kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music.
Uteuzi huo umefanywa na mwanzilishi wa lebo hiyo, Kanye West.
Kwa mujibu wa Billboard, uamuzi huo ulifanyika miezi minne iliyopita baada ya kupigiwa simu na Yeeyz.
“I was flying home and I had just got into my car at the airport,” alisema Pusha. “‘Ye had called me and he was like, ‘Tell me something. What do you think about being the president of G.O.O.D. Music?’ And I was like, ‘Well, what are the things that you’re looking...
9 years ago
Bongo511 Nov
Sheddy Clever aja na lebo yake, ‘Burn Records Tanzania’
![sheddy na Ne-yo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/sheddy-na-Ne-yo-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa wimbo ulioshinda tuzo kibao, Number One wa Diamond Platnumz, Sheddy Clever, ameanzisha lebo yake ya muziki.
Kupitia ukurasa wa Instagram, Sheddy Clever ameandika:
Kuna bora kipaji na Kipaji bora. Sasa hawa ni zaidi ya kipaji bora nina imani watafika pale wanapopataka na mimi nitawa support kwa nguvu zangu zote.Naomba itambulike hawa ndio wasanii wangu walio chini ya studio yangu Burnrecordz . Lakini hawawezi fanikiwa bila ya wewe shabiki na mpenzi wa bongofleva kuwapokea na...