Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man Walter apandisha gharama za kutayarisha nyimbo

Mtayarishaji wa muziki nchini, Man Walter ametangaza kupandisha gharama ya kutayarisha nyimbo katika studio zake za Combination Sounds. Producer huyo amesema atakuwa akitoza shilingi milioni moja japo bei hiyo itaongezeka kulingana na mahitaji ya wimbo husika. “Wimbo wa Ali Kiba huwezi ukaufananisha na wimbo wa Ommy Dimpoz labda ‘Baadaye’, ni nyimbo ambazo ukizisikiliza utasikia vionjo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Man Walter kuanzisha lebo ya muziki

Mtayarishaji wa muziki na mshindi wa tuzo za KTMA, Man Walter, amesema anajipanga kufungua rasmi lebo ya muziki itakayosimamia wasanii. Man Walter ameiambia Bongo5 kuwa lebo hiyo itakuwa na wasanii wasiozidi watano ili aweze kuwamudu. “Nitakuwa na lebo kwa sababu kuna watu nafanya nao kama lebo lakini haikuwa rasmi. Lakini sasa hivi nataka iwe very […]

 

9 years ago

Bongo5

Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri

Mtayarishaji wa muziki, Man Walter amesema wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri kutokana na kushindwa kuendana na mfumo wa muziki wa sasa. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Man Walter alisema wasanii hao wanahitaji ushauri wa ziada ili wafanye vizuri. “Unajua muziki umebadilika sana na wengi wanaoathirika na mfumo huu ni wasanii wakongwe, ndio maana wengi wanashindwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Msechu: Nina nyimbo 17 nilizorekodi kwa gharama kubwa lakini siwezi kuzitoa, ijue sababu

Msechu

Peter Msechu amekiri kuwa nyimbo zake za mwanzo hazikufanya vizuri kwasababu zilikuwa zikokiufundi sana, lakini ‘Nyota’ ndio ilikuja kumpa majibu kwamba mashabiki wa Tanzania wanataka nyimbo nyepesi zinazoweza kukaririka kirahisi.

Msechu

Msechu ameyasema hayo alipozungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio wiki hii.

“Kimuziki bado jamii yetu haijaelewa muziki wa professional…raia wa kibongo wanataka akiwa anapiga deki mmama akisikia chorus aimbe huku anapiga deki, lakini sio aanze kuhangaika...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa apandisha joto la urais

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

WAZIRI Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amepandisha joto la homa ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Joto hilo amelipandisha jana huku jina lake likitajwa zaidi wiki hii bungeni na baadhi ya mahasimu wake kisiasa na wabunge wengine waliotaka asafishwe kutokana na kutuhumiwa katika kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond.

Wakati jana watu walitarajia Lowassa angetoa kauli kuhusu mambo ya urais baada ya kutumwa na Makamu wa...

 

10 years ago

GPL

BI HARUSI APANDISHA MASHETANI KANISANI!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela Mshtuko! Bi harusi Agnes Omari (26) amezua kizaazaa baada ya kudaiwa kupandisha mashetani kanisani wakati akivishwa pete ya ndoa, hali iliyosababisha tendo la kufungishwa ndoa kusimama kwa muda kwa ajili ya kutafuta msaada wa maombi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1N3uS9D

 

10 years ago

Mtanzania

Spika Makinda apandisha joto la urais CCM

anne-makindaEVANCE MAGEGE NA AGATHA CHARLES

Spika wa Bunge, Anne Makinda, amesema mgombea uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) anatarajiwa kuteuliwa hivi karibuni.

Amesema katika kipindi cha siku chache zijazo vikao vya uteuzi vya CCM vitaanza vikao vyake na vitahitimishwa na mkutano mkuu ambao utateua mgombea wa chama hicho.

Spika Makinda aliyasema hayo jana, wakati akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa siku moja wa Maspika wa Mabuge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),...

 

9 years ago

Bongo5

Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi

wakazi2

Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.

wakazi2

Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.

“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya

Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ianze kutayarisha Bajeti ya 2015/16

Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha ilipitishwa bungeni juzi baada ya wabunge kuijadili kwa siku saba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani