Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa apandisha joto la urais

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

WAZIRI Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amepandisha joto la homa ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Joto hilo amelipandisha jana huku jina lake likitajwa zaidi wiki hii bungeni na baadhi ya mahasimu wake kisiasa na wabunge wengine waliotaka asafishwe kutokana na kutuhumiwa katika kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond.

Wakati jana watu walitarajia Lowassa angetoa kauli kuhusu mambo ya urais baada ya kutumwa na Makamu wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Spika Makinda apandisha joto la urais CCM

anne-makindaEVANCE MAGEGE NA AGATHA CHARLES

Spika wa Bunge, Anne Makinda, amesema mgombea uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) anatarajiwa kuteuliwa hivi karibuni.

Amesema katika kipindi cha siku chache zijazo vikao vya uteuzi vya CCM vitaanza vikao vyake na vitahitimishwa na mkutano mkuu ambao utateua mgombea wa chama hicho.

Spika Makinda aliyasema hayo jana, wakati akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa siku moja wa Maspika wa Mabuge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),...

 

10 years ago

Mtanzania

Joto la urais lapanda Z’bar

HamadRashidMohammedNa Mwandfishi Wetu, Zanzibarr

JOTO la kuwania urais wa Zanzibar limezidi kupanda huku mgombe wa nafasi hiyo kupitia Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamesd  akijitosa kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.

Hamad ametamba kuwa anatarajia kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kuanzisha shirika jipya la ndege la Zanzibar iwapo wananchi watampigia kura kuwa Rais mpya katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Hamad alitoa msimamo huo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania urais na Mwenyekiti...

 

5 years ago

Michuzi

JOTO LA URAIS CHADEMA LAPAMBA MOTO, MCH MSIGWA ATAJA MAMBO MATATU ATAKAYOYAFANYA AKIWA RAIS


Charles James, Michuzi TV

UCHUMI imara, kusimamia utawala bora na kuboresha elimu nchini, ndivyo vipaumbele vitatu ambavyo Mtia nia wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mch Peter Msigwa amevitaja.

Mch Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ametangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea Urais kupitia Chadema leo jijini Dodoma ambapo pia alisindikizwa na wabunge wenzake, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Hawa Mwaifunga na John Heche.

Akizungumza na wandishi...

 

10 years ago

GPL

BI HARUSI APANDISHA MASHETANI KANISANI!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela Mshtuko! Bi harusi Agnes Omari (26) amezua kizaazaa baada ya kudaiwa kupandisha mashetani kanisani wakati akivishwa pete ya ndoa, hali iliyosababisha tendo la kufungishwa ndoa kusimama kwa muda kwa ajili ya kutafuta msaada wa maombi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1N3uS9D

 

10 years ago

Bongo5

Man Walter apandisha gharama za kutayarisha nyimbo

Mtayarishaji wa muziki nchini, Man Walter ametangaza kupandisha gharama ya kutayarisha nyimbo katika studio zake za Combination Sounds. Producer huyo amesema atakuwa akitoza shilingi milioni moja japo bei hiyo itaongezeka kulingana na mahitaji ya wimbo husika. “Wimbo wa Ali Kiba huwezi ukaufananisha na wimbo wa Ommy Dimpoz labda ‘Baadaye’, ni nyimbo ambazo ukizisikiliza utasikia vionjo […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Lowassa mgombea urais CHADEMA

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,Edward Lowassa amechukua fomu ya kuwania urais kupitia tiketi ya CHADEMA

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa achomoza tena urais

Edward Lowassa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (CCM) kwa mara nyingine amechomoza na kushika nafasi ya kwanza kwa kupata kura 752 sawa na asilimia 22.8 ya kura 3,298 katika nafasi ya kiongozi anayefaa kuwa rais wa Tanzania.
Lowassa amepata kura hizo katika ripoti ya utafiti uliopewa jina la Vigezo na Matarajio ya Wananchi katika Kufanya Maamuzi ya Kuchagua Viongozi Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015.
Utafiti huo...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa, Membe huru urais

>Mpambano mkali wa kuwania nafasi ya kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya CCM sasa umeanza rasmi baada ya Kamati Kuu ya chama hicho tawala kuwaweka huru makada sita waliokuwa wamefungiwa kwa takriban miezi 17 kwa makosa ya kukiuka kanuni za uchaguzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa apinga urais wa Dk Magufuli

Saa chache kabla ya Dk John Magufuli wa CCM kutangazwa mshindi wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa aliwasilisha pingamizi lenye hoja tatu kuhusu mwenendo wa uchaguzi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva na kugonga mwamba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani