Lowassa achomoza tena urais
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (CCM) kwa mara nyingine amechomoza na kushika nafasi ya kwanza kwa kupata kura 752 sawa na asilimia 22.8 ya kura 3,298 katika nafasi ya kiongozi anayefaa kuwa rais wa Tanzania.
Lowassa amepata kura hizo katika ripoti ya utafiti uliopewa jina la Vigezo na Matarajio ya Wananchi katika Kufanya Maamuzi ya Kuchagua Viongozi Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015.
Utafiti huo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jun
Jaji Ramadhani achomoza urais
JAJI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Agustino Ramadhani (70) ambaye kwa sasa ni Rais wa Mahakama ya Afrika, amepandisha joto la urais ndani ya CCM, baada ya jana kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-sX4oikrju1A/VXWdl8qUwhI/AAAAAAAAvW4/G_LJUNW6jJY/s72-c/LE%2BMSHUWA%2BLIVE.jpg)
Lemutuz 'Kambi ya Urais ya LOWASSA Hamko Vizuri au Mgombea Wenu ni Bogas..Jipangeni Tena Upya'
![](http://1.bp.blogspot.com/-sX4oikrju1A/VXWdl8qUwhI/AAAAAAAAvW4/G_LJUNW6jJY/s640/LE%2BMSHUWA%2BLIVE.jpg)
LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK:- morning guys kuna wanaotafsiri kwamba namchukia mgombea wao kumbe Mimi ninakata FACTS mti wenye matunda ndio unaorushiwa maweso wafuasi wake jifunzeni hoja the FACT is a leading Candidate supposedly hawezi kuogopa Debate infact yeye ndiye aliyetakiwa kupigania Debate ziwe nyingi kusudi Taifa tumuelewe vizuri kwamba Hakuiba Richmond kulikuwa na njama za kutaka cheo chake ndio maana aliwaachia good now asimame kwenye debate atuhakikishie kwamba akipata Uraisi...
10 years ago
Habarileo25 Mar
CCM yamuonya tena Lowassa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema vitendo vinavyofanywa na Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ni ukiukwaji wa Katiba na kanuni za chama hicho.
11 years ago
BBCSwahili22 Feb
Bouteflika atagombea tena urais
10 years ago
Mwananchi15 May
Wabunge wahoji tena Lowassa kutosafishwa
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Lowassa: Sina tena rafiki CCM
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Edward Lowassa aiteka tena Dar
MAELFU ya wakazi wa Dar es Salaam jana waliacha shughuli zao zote na kujiunga katika msafara wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ambaye alikuwa na mikutano ya kampeni katika majimbo ya Temeke, Segerea, Ubungo na Kawe.
Lowassa aliwasili Temeke katika Uwanja vya Mwembeyanga saa 05:20 asubuhi ambako alilakiwa na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza.
Akifuatana na Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Tukishindwa sasa basi tena- Lowassa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntFVYZ*rc2MIUqed5zd-C9JG1P5uFRnyxXujE-lrDCanAoGXwOATBQP6lxHkAz-1-XmUZy1XoK9c3aGto-s7JPqe/blatter.jpg)
BLATTER ASHINDA TENA URAIS WA FIFA