Lowassa, Membe huru urais
>Mpambano mkali wa kuwania nafasi ya kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya CCM sasa umeanza rasmi baada ya Kamati Kuu ya chama hicho tawala kuwaweka huru makada sita waliokuwa wamefungiwa kwa takriban miezi 17 kwa makosa ya kukiuka kanuni za uchaguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Lowassa, Membe huru ndani ya saa 24
10 years ago
Mwananchi01 Mar
Urais wa Membe, Lowassa gizani
10 years ago
Mtanzania23 May
Lowassa huru
Na Khamis Mkotya, Dodoma
HATIMAYE makada sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofungiwa kujihusisha na shughuli zozote zenye mwelekeo wa kufanya kampeni za kuwania kuteuliwa kuwania urais kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja sasa wapo huru.
Makada hao wameondolewa kifungo hicho baada ya Kamati Kuu ya CCM (CC), kuridhia pendekezo la kamati ndogo ya maadili iliyokuwa ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula, la kuwaondoa kifungoni.
Kamati Kuu ya CCM ilianza vikao vyake jana...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3LGyq71ZEX0/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Lowassa, Membe yametimia
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3LGyq71ZEX0/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
CCM yawafunga Lowassa, Membe
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemfunga Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na makada wenzake watano kwa kuwapa onyo kali na kuzuiwa kugombea uongozi wowote ndani ya chama kwa muda wa mwaka...
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Lowassa, Membe waitesa CCM
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Jk awatosa Lowassa, Sitta, Membe
RAIS Jakaya Kikwete, ameamua kuwatosa kiana baadhi ya makada wenzake wazee wanaonyesha nia kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani, Tanzania Daima limebaini. Alisema vijana ndiyo chachu ya...