Lowassa, Membe huru ndani ya saa 24
>Kifungo cha miezi 12 walichopewa makada sita wa CCM kwa kukiuka kanuni na taratibu za chama hicho na kuanza kampeni za kuwania urais kabla ya wakati, kinamalizika ndani ya saa 24 na hatma yao kusubiri tathimini itakayofanywa na kamati ndogo ya maadili ili kubaini iwapo walitekeleza ipasavyo adhabu hiyo au la.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 May
Lowassa, Membe huru urais
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
9 years ago
Michuzi10 years ago
Mtanzania23 May
Lowassa huru
Na Khamis Mkotya, Dodoma
HATIMAYE makada sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofungiwa kujihusisha na shughuli zozote zenye mwelekeo wa kufanya kampeni za kuwania kuteuliwa kuwania urais kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja sasa wapo huru.
Makada hao wameondolewa kifungo hicho baada ya Kamati Kuu ya CCM (CC), kuridhia pendekezo la kamati ndogo ya maadili iliyokuwa ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula, la kuwaondoa kifungoni.
Kamati Kuu ya CCM ilianza vikao vyake jana...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Lowassa, Membe yametimia
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Hukumu CCM ndani ya saa 72
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Hatima ya Muhongo ndani ya saa 48
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Membe amchokonoa Lowassa kiana
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutoruhusu mtu yeyote kununua urais kama njugu. Alitahadharisha kuwa kama itatokea kada yeyote wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
CCM yawafunga Lowassa, Membe
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemfunga Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na makada wenzake watano kwa kuwapa onyo kali na kuzuiwa kugombea uongozi wowote ndani ya chama kwa muda wa mwaka...