Lowassa, Membe waitesa CCM
Vigogo sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ambao walipewa onyo kali na kuwekwa chini ya uangalizi kwa miezi 12 wamezidi kukitesa chama hicho, na katika kuwadhibiti, kimetoa maagizo kwa Kamati ya Usalama na Maadili kufuatilia nyendo zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Wafuasi wa Lowassa waitesa CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Mkoa wa Arusha kiko njia panda kutokana na hatua ya baadhi ya wa
Paul Sarwatt
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
CCM yawafunga Lowassa, Membe
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemfunga Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na makada wenzake watano kwa kuwapa onyo kali na kuzuiwa kugombea uongozi wowote ndani ya chama kwa muda wa mwaka...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Lowassa, Membe yametimia
10 years ago
Mwananchi23 May
Lowassa, Membe huru urais
10 years ago
Mwananchi01 Mar
Urais wa Membe, Lowassa gizani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiI9X3*RMNbmXOCCe5spK6-mfxcfSQdnf1KRX46MpBD3j*d5bogydkXsaA8ZWxkNw4pyGoQEbLGd14SQ-Midx53j/frontpage.gif?width=650)
LOWASSA VS MEMBE NANI MBABE?
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Pumzi ya mwisho Lowassa, Membe
10 years ago
Mwananchi14 May
Membe, Lowassa liwalo na liwe
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Membe amchokonoa Lowassa kiana
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutoruhusu mtu yeyote kununua urais kama njugu. Alitahadharisha kuwa kama itatokea kada yeyote wa...