WAGOMBEA URAIS CCM WAPO HURU KUSHIRIKI MIDAHALO-KINANA
![](http://img.youtube.com/vi/3LGyq71ZEX0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3LGyq71ZEX0/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Jun
MAONI: Ni muhimu wagombea urais kushiriki midahalo
>Taasisi ya CEO Roundtable imeandaa midahalo kwa ajili ya watu ambao wametangaza nia au kujitokeza kuwania urais kwa kupitia vyama tofauti, kwa kuanzia na CCM ambayo imeshaanza mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
Mwananchi06 Jun
CCM yazuia wagombea urais kwenye midahalo
Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM), kiko katika mchakato wa kumpata mgombea urais na mwenyekiti wake mpya, kimepiga marufuku makada kushiriki katika midahalo yoyote hadi kitakapompata mgombea mmoja.
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Wagombea urais wasikwepe midahalo
Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salam (Udasa) juzi ilitangaza mpango wake wa kuendesha midahalo ya wagombea urais wakati wa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba.
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Midahalo ya wagombea urais yaja
Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) na ITV/ Radio One wamesaini makubaliano ya kuandaa midahalo ya wagombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.
9 years ago
Vijimambo12 Oct
Taarifa juu ya midahalo ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Oktoba 12, 2015
![](http://www.dw.de/image/0,,16593167_303,00.jpg)
Kwa sasa mashirika ya CEO Roundtable Tanzania, Tanzania Media Foundation (TMF), Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), na Twaweza wameungana katika kuendeleza juhudi za kufanikisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rC3TSr1ZTMY/VLlejnroFTI/AAAAAAAAbO0/Ooxd-EVbW1w/s72-c/midahalo_clip.jpg)
TAARIFA KWA UMMA: UDASA na ITV Kuandaa Midahalo ya Wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-rC3TSr1ZTMY/VLlejnroFTI/AAAAAAAAbO0/Ooxd-EVbW1w/s1600/midahalo_clip.jpg)
Picha na Venance Nestory.
1. Katika nchi za kidemokrasia, midahalo ya wagombea imekuwa ni sehemu muhimu katika...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Wagombea,urais,wenza washindwa kuthibitisha kushiriki mdahalo
Kamati ya maandalizi ya midahalo ya wagombea urais na wagombea wenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoratibiwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT), imelazimika kuongeza muda wa uthibitisho, baada ya wagombea kushindwa kuthibitisha ushiriki wao kwa barua.
10 years ago
Habarileo12 Jun
Kinana: Wagombea urais mjinadi bila kukashifiana
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya uchaguzi mkuu, kujinadi bila kukashifiana na kudhalilishana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania