Kinana: Wagombea urais mjinadi bila kukashifiana
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya uchaguzi mkuu, kujinadi bila kukashifiana na kudhalilishana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3LGyq71ZEX0/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.
9 years ago
MichuziMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Wagombea urais CCM wagonga 40
9 years ago
Habarileo20 Aug
Wagombea urais wapewa somo
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Tanzania Farmers (AFP), Said Soud amewataka wagombea wenzake wa nafasi hiyo kuweka mbele uzalendo na si tamaa na ubinafsi wa madaraka.
10 years ago
Habarileo02 Feb
Wagombea urais CCM kitanzini
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya wanachama wa chama hicho, kuheshimu Katiba ya chama na kufuata taratibu katika kugombea nafasi za kuteuliwa katika uchaguzi wa mkuu ili wasije kukilaumu chama, endapo wataenguliwa na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.
10 years ago
Mtanzania04 Sep
Wagombea urais CCM wavurugwa
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KATIKA kile kinachoonekana ni kuvuruga kambi za wagombea urais mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepangua makatibu wa mikoa 17 kwa kuwahamisha vituo vyao vya kazi.
Makatibu hao ni pamoja na Mary Chatanda aliyekuwa Mkoa wa Arusha, ambaye kwa sasa amehamishiwa Singida.
Chatanda kwa muda mrefu amekuwa na msuguano ndani ya Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha, huku kiini chake kikidaiwa ni misimamo tofauti ya vijana hao...
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM