Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagombea urais CCM wavurugwa

Abdulrahman Kinana

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

KATIKA kile kinachoonekana ni kuvuruga kambi za wagombea urais mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepangua makatibu wa mikoa 17 kwa kuwahamisha vituo vyao vya kazi.

Makatibu hao ni pamoja na Mary Chatanda aliyekuwa Mkoa wa Arusha, ambaye kwa sasa amehamishiwa Singida.

Chatanda kwa muda mrefu amekuwa na msuguano ndani ya Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha, huku kiini chake kikidaiwa ni misimamo tofauti ya vijana hao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wagombea urais CCM kitanzini

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwapungia maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma jana, kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha Miaka 38 ya Kuzaliwa kwa CCM.MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya wanachama wa chama hicho, kuheshimu Katiba ya chama na kufuata taratibu katika kugombea nafasi za kuteuliwa katika uchaguzi wa mkuu ili wasije kukilaumu chama, endapo wataenguliwa na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM

Hiki ni kivumbi. Kati ya wagombea 42 waliojitokeza kuwania urais kupitia CCM, anatakiwa kubaki mmoja tu na mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu unafungwa kesho.

 

10 years ago

Habarileo

Wagombea urais CCM wafikia 28

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaIDADI ya wagombea nafasi ya Urais kupitia CCM sasa imefikia 28 baada ya jana makada wengine sita kuchukua fomu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais CCM wagonga 40

Dodoma/Dar. Mtafiti binafsi na kada wa CCM, Helena Elinawinga (41), amejitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama chake kuwania urais na kusema amefikia uamuzi huo ili kupunguza kujirudiarudia kwa adhabu za vifo kwa viongozi.

 

10 years ago

Mtanzania

Maige awashangaa wagombea urais CCM

maigeNa Khamis Mkotya, Dodoma
MBUNGE wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), amesema amesikitishwa na mwenendo wa wagombea urais kupitia chama chake kwa jinsi wanavyojinadi.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari ya Bunge mjini hapa jana, Maige alisema inasikitisha wagombea hao badala ya kujadili hoja wamebaki kushambuliana na kurushiana vijembe.
Alisema kitendo cha wagombea hao kujadili watu badala ya hoja kinaonyesha udhaifu walionao huku akiwataka kuacha siasa za...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Hoseah awanyatia wagombea urais CCM

Dar es Salaam. Wakati viongozi wajuu wa CCM wakiendelea kulalamikia makada wanaowatuhumu kutumia fedha kujifagilia njia ya urais, mkurugenzi wa Takukuru, Dk Edward Hoseah amesema taasisi yake inakusanya taarifa zote za wanachama wa chama hicho tawala wanaotuhumiwa kutumia mlungula.

 

10 years ago

GPL

MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM ULIVYOYEYUKA

 Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amina Salum Ali.  Viti vikiwa tupu baada ya kuahirishwa kwa mdahalo huo.  Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amina Salum Ali (kulia), akizungumza na wadau mbalimbali waliofika kwa lengo la kuwasikiliza wagombea hao…

 

10 years ago

Vijimambo

MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM KUTOFIKA

IMG-20150608-WA0032Leo June 08 2015 kulikuwa na mdahalo wa Wagombea wa Urais TZ ambao wanawakilisha CCM.. Mdahalo ulianza saa moja jioni Hyatt Regency Dar lakini Wagombea wengi hawakufika aliyefika ni Mgombea mmoja tu, Balozi Amina Salum Ali, wapo waliotoa sababu za kutofika lakini wengine hakukuwa na taarifa yoyote.Ali Mufuruki ni mwenyekiti wa Waandaaji wa Mdahalo huo, hiki ndio alichokisema baada ya kutokea kwa hali hiyo>>>”Sauti yake nimeirekodi pia na unaweza kuisikiliza...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yakomalia wagombea urais sita

Wakati Kamati Kuu ya CCM, ikieleza kusikitishwa kwake na baadhi ya viongozi wake walio katika dhamana ya kisiasa kukumbwa na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, adhabu kali zitachukuliwa dhidi ya wagombea urais sita walioadhibiwa mwaka jana endapo walikiuka masharti ya adhabu zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani