MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Nghwira (kulia), na Mgombea nafasi hiyo kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chifu Litayosa Yemba wakijibu maswali mbalimbali katika mdahalo wa wagombea urais ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza Dar es Salaam leo. Hata hivyo wagembea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Magufuli na Edward Lowassa kupitia Chadema hawakuweza kuhudhuria kwa sababu mbalimbali.
Waongozaji wa mdahalo huo wakiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Mdahalo wa wagombea Urais Tanzania wafanyika, Magufuli, Lowassa washindwa kuhudhuria
10 years ago
GPL
MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA WAFANYIKA, MAGUFULI, LOWASSA WASHINDWA KUHUDHURIA
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mdahalo wa wagombea urais Oktoba 18
10 years ago
GPLMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM ULIVYOYEYUKA
10 years ago
Habarileo10 Jun
Wagombea urais wakacha mdahalo Dar
WAGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), juzi walikimbia mdahalo wa kupambana kwa hoja ulioandaliwa na wenyeviti wa sekta binafsi na kujulikana kama ‘CEO round table of Tanzania’.
10 years ago
Vijimambo09 Jun
MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM KUTOFIKA

10 years ago
Mtanzania19 Oct
Wagombea urais wachuana mdahalo wa Twaweza
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAGOMBEA urais wa vyama vya ACT-Wazalendo, Anna Mghwira, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chifu Lutasola Yemba, Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashimu Rungwe na Chama cha Tanzania Labor (TLP), Macmillan Lyimo wamechuana katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza.
Mdahalo huo uliofanyika Dar es Salaam jana uliwashirikisha wagombea hao huku mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli na Edward Lowassa wa Chama cha...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Wagombea urais wajivuta kudhibitisha ushiriki mdahalo
10 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO — MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015
The post VIDEO – MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015 appeared first on Mzalendo.net.