Wagombea urais wasikwepe midahalo
Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salam (Udasa) juzi ilitangaza mpango wake wa kuendesha midahalo ya wagombea urais wakati wa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Midahalo ya wagombea urais yaja
Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) na ITV/ Radio One wamesaini makubaliano ya kuandaa midahalo ya wagombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
MAONI: Ni muhimu wagombea urais kushiriki midahalo
>Taasisi ya CEO Roundtable imeandaa midahalo kwa ajili ya watu ambao wametangaza nia au kujitokeza kuwania urais kwa kupitia vyama tofauti, kwa kuanzia na CCM ambayo imeshaanza mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
Mwananchi06 Jun
CCM yazuia wagombea urais kwenye midahalo
Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM), kiko katika mchakato wa kumpata mgombea urais na mwenyekiti wake mpya, kimepiga marufuku makada kushiriki katika midahalo yoyote hadi kitakapompata mgombea mmoja.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3LGyq71ZEX0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3LGyq71ZEX0/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo12 Oct
Taarifa juu ya midahalo ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Oktoba 12, 2015
![](http://www.dw.de/image/0,,16593167_303,00.jpg)
Kwa sasa mashirika ya CEO Roundtable Tanzania, Tanzania Media Foundation (TMF), Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), na Twaweza wameungana katika kuendeleza juhudi za kufanikisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rC3TSr1ZTMY/VLlejnroFTI/AAAAAAAAbO0/Ooxd-EVbW1w/s72-c/midahalo_clip.jpg)
TAARIFA KWA UMMA: UDASA na ITV Kuandaa Midahalo ya Wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-rC3TSr1ZTMY/VLlejnroFTI/AAAAAAAAbO0/Ooxd-EVbW1w/s1600/midahalo_clip.jpg)
Picha na Venance Nestory.
1. Katika nchi za kidemokrasia, midahalo ya wagombea imekuwa ni sehemu muhimu katika...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais
W
agombea urais John Magufuli (CCM), Edward Lowassa (Chadema) na Anna Mghwira (ACT-Wazalendo), wanaendelea kuomba ridhaa ya Watanzania ili kuunda Serikali ya Awamu ya Tano, huku kila mmoja akija na sera anayoamini kuwa ni nzuri na tofauti na mwenzake.
9 years ago
Habarileo20 Aug
Wagombea urais wapewa somo
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Tanzania Farmers (AFP), Said Soud amewataka wagombea wenzake wa nafasi hiyo kuweka mbele uzalendo na si tamaa na ubinafsi wa madaraka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania